Recent content by Handsome Rob

  1. Handsome Rob

    Hii ni moja ya sababu inayowafanya vijana wengi kununua dada poa badala ya kuanzisha mahusiano

    Changamoto ni kwamba huyo anaetoa bure huku kwingine anauza.. Na hapo ndio confusion ilipo..
  2. Handsome Rob

    Hivi ni mimi pekee ninaepata changamoto na customer care ya CRDB bank?

    SimBanking sijui imekufa.. Huduma kibao inagoma..
  3. Handsome Rob

    Ex wako wa mwisho, nini ilikuwaje sababu ya nyie kuachana/kukuacha/kumuacha

    Ulirogwa mkuu.. Mpk kubadili dini..??? Hatarii
  4. Handsome Rob

    Mkopo wa MGODI wa Vodacom waweza kuwa changamoto kwa maskini

    Hapo kuna kitu hujaelewa mkuu.. Ukikopa TZS 100,000 let say riba ni 18% inamaana ilitakiwa urudishe TZS 118,000.. Kwahyo ukipewa TZS 82,000 then ukaja ukarudisha TZS 100,000 ni jambo lilelile. Wanachofanya wao wana secure riba yao ili we ulipe principal amount... Shida ya hii mikopo ni jinsi...
  5. Handsome Rob

    Mkuu wa wilaya Unguja amchongea Polisi kwa mkubwa wake akilalamika kwa kutompigia Saluti

    Yaan huyu mpemba kaona hilo ndio jambo la maana kushupalia... Daah
  6. Handsome Rob

    Nalipiaje Poweramp Player Wakuu...?

    Mimi nililipia kama miaka 3 iliyopita, nililipia kwa kutumia Vodacom Airtime kama means ya kufanyia malipo Playstore.. Natumia hii njia pia kulipia Apple Music kila mwezi. Vodacom Mastercard iligoma.
  7. Handsome Rob

    Angalia namba zako 3 za mwisho za simu zina maanisha nini

    Alcohol, Travel & Sex.. Aisee
  8. Handsome Rob

    Wanathamini sana saikolojia, tunakwama wapi?

    Wanathamini Saikolojia kwa sababu, Kila kitu kinaanzia kichwani. Nakumbuka wakati niko chuo mwaka wa mwisho nliisoma Psychology in Human Behaviour kama somo la ziada, aiseee imenisaidia sana kuishi na watu na kufanya majukumu yangu ya kazi vizuri (nature ya kazi yangu nakutana na watu wengi...
  9. Handsome Rob

    Series (Special thread)

    Hii series nmeiangalia yote weekend iliyoisha.. Hii series ni hatari.. The terminal List, nmeipenda..
  10. Handsome Rob

    Tanzania Revenue Authority, Attorney General win appeal over 145bn/- judicial review tax dispute

    For sure hii kesi kama imekaa kimchongo vile.. Jamaa waliwafuata kuwauliza kabla then wakageukwa.. Halafu kesi akapewa AG.. Kuna kitu hapo..
  11. Handsome Rob

    Nimeamini kuna watu wana akili ya ajabu

    Tunakubali ndio tuna low IQ, Ila ulipie tangazo
  12. Handsome Rob

    Faini ya kujifungulia nyumbani, hii imekaaje?

    Tatizo watu mnaongea kwa mihemuko. Fine zipo ku discourage kitu fulani, hata hyo fine ni ku discourage watu kuzalia nyumbani kwa sababu kuzalia nyumbani kunahatarisha zaidi maisha ya mama na mtoto.. Hicho ni kitu cha kawaida sana hasa maeneo ya vijijini. Tuache kuishi kizamani
  13. Handsome Rob

    Wakuu mnawezaji kuwa chawa?

    Njaa mbaya mkuu..
Back
Top Bottom