Recent content by hamukoko

  1. hamukoko

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    alikuwa na msemo wake, Ndio! sawa! ook!! hata mkuu anaelewa hilo, hahahaha, nasikia alfariki, Mungu amlaze pema peponi
  2. hamukoko

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    [Nadhani huwezi kumsahau Chua pale makanyagio.] umenikumbusha Chua na kimgahawa chake
  3. hamukoko

    Kwa waliowahi kuishi Iringa, comment hapa tafadhali

    mkwawa secondary aka Mkwawa complex and Casino, 1995 - 1997, nakumbuka maandazi ya mama uswege na chakula cha Mr. Nelkon pale Makanyagio, Mkuu wa shule Mgohamwende na second master wake Mr. Mwangoka, nawakumbuka walimu wa mkwawa kipindi hicho baba kadoda, sikumbuki jina lake, mgimwa, masato...
  4. hamukoko

    Joram Kihango vs Willy Gamba

    zingetenezwa movie zao ingekuwa bomba sana, kama allan quartemain, movie zake zipo ni safi sana
  5. hamukoko

    Huwezi kuamini mambo haya yapo dar!!!!

    sasa wakirudi huku kwetu kijijini mikogo miiingi, kwamba tunatoka dar
  6. hamukoko

    Kwanini wasukuma wanapenda mabinti weupe?

    nyie wasukuma ndio mnaosababisha akina dada full mkorogo siku hizi, uso wa kitoto miguu ya kizee
  7. hamukoko

    Makala ya Dr Lwaitama

    hiyo ndio PW, mie nilishahasau kabisa kupanda, kama hakuna ndege za kwenda mwanza, mabasi yapo, hawana adabu, i do not recomend to anybody at all
  8. hamukoko

    Umewahi Kuchunguza kwanini Nyoka hamdhuru Mtoto!?

    [ Sio nyoka tu,wanyama wengi hawawadhuru watoto,ni Mungu tu anawalinda kama anavyowalinda na magonjwa mbalimbali hata wale uchafu kiasi gani] mwachie fisi uone, sikubaliani na hii kauli
  9. hamukoko

    Umewahi Kuchunguza kwanini Nyoka hamdhuru Mtoto!?

    [Inasemekana adrenaline hormone inayozalishwa pale mtu anaposhtuka kwa kumuona nyoka ndio inasababisha ang'atwe kwani nyoka anahisi hatari inayomkabili na anajihami mapema. Na ndio maana inasemekana kama hujamuona nyoka na yeye kakuona hawezi kukudhuru, kwa kuwa hakuna adrenaline inayozalishwa...
  10. hamukoko

    Umewahi Kuchunguza kwanini Nyoka hamdhuru Mtoto!?

    [Inasemekana adrenaline hormone inayozalishwa pale mtu anaposhtuka kwa kumuona nyoka ndio inasababisha ang'atwe kwani nyoka anahisi hatari inayomkabili na anajihami mapema. Na ndio maana inasemekana kama hujamuona nyoka na yeye kakuona hawezi kukudhuru, kwa kuwa hakuna adrenaline inayozalishwa...
  11. hamukoko

    Watalii wanusurika ajali ya ndege

    kaka fafanua, manake unasema wamenusurika kufa, imefeli break kama ile ya pemba, tatizo nini manake sijaona tatizo lililoelezwa
  12. hamukoko

    Precision Air, hii ndio Customer Care mliyofunzwa?

    tatizo wako wenyewe tu, kwa hiyo hata mlalamike vipi hawajali, nawafananisha na KQ, kenya Airways, hawa nao balaa nadhani hawa katika joint venture yao ndio waliowaambukiza PW, ila PW ni majanga kwa kweli
  13. hamukoko

    Utambulisho

    Semina Ubungo Plaza... watu wakaanza kujitambulisha, Wa kwanza: Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa pili nasoma LAW. Wa pili: Mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION. Wa tatu: Kwa kusuasua sana huku akijishtukia, mimi naitwa Paul niko TANESCO mwaka wa4 nasoma MITA!!
  14. hamukoko

    Mchungaji nae

    MCHUNGAJI: Mgeukie jirani yako na umwambie Mungu yumwema, WAUMINI wote wakageukiana na kusema Mungu yumwema, MCHUNGAJI: Leo nitawaombea wale wote wasio zaa,mgeukie mwenzio na umwambie leo utapata mimba, mara likasikika bonge la kofi siti za nyuma! Kumbe mtoto 1 alimgeukia baba yake na kumwambia...
  15. hamukoko

    Nani atupe...

    Ndani ya meli,watu makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo tele,Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele" Muhindi Akamwaga kiroba cha tambuu akasema kwetu zipo kibao, Mmasai akatupa shanga.. Mchaga anahaha...
Back
Top Bottom