Huwezi kuamini mambo haya yapo dar!!!!

Huwezi kuamini mambo haya yapo dar!!!!

NIpo ndugu yangu. Majukumu tu..
Pole sana mkuu ila majukumu ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na nafikiri hayo majukumu yameongezeka zaidi baada ya kusikia unadaiwa shiling laki sita ilizokopa serikali kwa niaba yako.
 
No comment
1391162536861.jpg
 
kiukweli kama mtu sio mshamba hawezi akaipenda dar. maisha kama kambini kwa wakimbiz...
 
Nilikuwa naenda kwa brother anakaa gongolamboto BANGURO pale kuna Mto unaitwa msimbazi kilichonishangaza ni kuona baada ya miaka hamsini ya uhuru wananchi wa maeneo halo hawana maji hivyo wanalazimika kuchimba mchangani ili waweze kupata maji naomba tujadili kwa pamoja Kama Dar hali iko hivyo vijijini itakuwaje maana hao inabidi wachimbe mchangani kwa sababu hawana wa kununua maji yanayoletwa na magari Ndoo sh 500/= wadau naomba tujadili Haya Ndiyo maisha bora kwa Kila mtanzania?o
We ni mvivu wa kufikiri, mwambie nduguyo ahamie Oysterbay kuna maji ya kutosha wakazi wote wa Dar!
 
Mbona sehemu nyingi tu za dar hazina maji, na zingine mabomba ya dawasco yapo lakini watu ukiwauliza maji yalitoka lini mara ya mwisho wala hawakumbuki. Huko vijijini wala usifikirie bado tupo nyuma sana mkuu.[/QUOTE

Subiri tuwe na jiji la kisasa Kigamboni, yote yatawezekana
 
Sidhani kama Mbunge ana uwezo wa kupeleka huduma ya maji sehemu yoyote.

Ni jukumu la mamlaka husika ikiwemo Serikali kwa ujumla.


MIZAMBWA
INANUMA SANA!!!!


Sasa Mbona wabunge huwa wanasema kuwa wataleta huduma ya maji majimboni kwao??
 
sasa wakirudi huku kwetu kijijini mikogo miiingi, kwamba tunatoka dar
 
Kwani hiyo nayo unataka mkuu aje huko? Mlilichagua hilo lichama, tulieni mlipe fadhila kwa ule ubwabwa na tshirt yake yenye sanamu lake mgongoni. 2015 ni karibu, mtaletewa maji ya boza na ccm kabla ya uchaguzi mkuu. Kama Takrima tuuu
 
inasemekana wajinga wengi wa nchi hii wamejazana DAR ES SALAAM , Hata kitoweo chao kikuu ni UTUMBO WA KUKU , VICHWA NA MIGUU YA KUKU !

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 watu wengi wa DAR ni tatizo kubwa sana katika nchi hii watu hawana maji ya bomba lakini bado wanaridhika na hali hiyo hawawezi hata kuhoji kodi yao inafanya kazi gani.
 
Dar ni jiji lililokuwa na watu chini ya laki tano miaka ya 70. Wakuja mmekuja kujazana sasa mnalalamika nini?

Kwa mara ya kwanza tunaona miradi mikubwa ya maji Dar ikianzishwa na Kikwete toka kabla ya Uhuru. Kuna mradi unaendelea sasa wa kufikisha maji Dar kwa kiwango cha juu kutoka Ruvu. Na pia kuna miradi mingine miwili inaendelea ya kuchimba visima virefu na vikubwa 40 huko Kimbiji vitavyoweza kuinywesha Dar kwa miaka 100 ijayo.

Ahsante Kikwete. Sijui Mirais iliyotawala kabla yake ilikuwa inafanya nini. Haikufikiria kabisa wala haijawahi kuchukuwa hatua zozote za kuipatia maji na umeme wa kutosha nchi hii.

Leo Kikwete ndio anaetekeleza miradi ya maji ya uhakika nchi nzima na umeme ndio usiseme maana kila mahala nchini kuna mradi wa umeme na maji wa aina moja au nyingine.
 
Dar ni jiji lililokuwa na watu chini ya laki tano miaka ya 70. Wakuja mmekuja kujazana sasa mnalalamika nini?

Kwa mara ya kwanza tunaona miradi mikubwa ya maji Dar ikianzishwa na Kikwete toka kabla ya Uhuru. Kuna mradi unaendelea sasa wa kufikisha maji Dar kwa kiwango cha juu kutoka Ruvu. Na pia kuna miradi mingine miwili inaendelea ya kuchimba visima virefu na vikubwa 40 huko Kimbiji vitavyoweza kuinywesha Dar kwa miaka 100 ijayo.

Ahsante Kikwete. Sijui Mirais iliyotawala kabla yake ilikuwa inafanya nini. Haikufikiria kabisa wala haijawahi kuchukuwa hatua zozote za kuipatia maji na umeme wa kutosha nchi hii.

Leo Kikwete ndio anaetekeleza miradi ya maji ya uhakika nchi nzima na umeme ndio usiseme maana kila mahala nchini kuna mradi wa umeme na maji wa aina moja au nyingine.
Na uki pump-in lita milioni 50 za maji kila siku , na zikawafikia wakazi, suala ambalo hakuna anayejiuliza .... je unaondoaje maji taka lita milioni 50 toka vyoo, viwanda na maji taka toka sehemu nyingine kama mahoteli n.k.

Miundo mbinu ni ile ile ya miaka ya 50, au sitini.
Sasa hivi tembelea kariakoo, sehemu za India St, Upanga na kwingineko....mtiririko wa maji taka na harufu mtindo mmoja.
Kazi ipo.
 
Na uki pump in lita milioni 50 za maki kila siku , na zikawafikia wakazi, suala ambalo hakuna anayejiuliza .... je unaondoaje maji taka lita milioni 50 toka vyoo, viwanda na maji taka mengine.
Miundo mbinu ni ile ile ya miaka ya 50, au sitini.
Sasa hivi tembelea kariakoo, sehemu za India St Upanga na kwingineko....mtiririko wa maji taka na harufu mtindo mmoja.
Kazi ipo

Hayo ndio matunda ya chama cha mizigo.
 
kawaida mbona na hata viongozi wameshaona wananchi wamezoea kwa hiyo hakuna haja ya kuleta maji safi kwa kila mwananchi. kidumu chama cha mapinduzi
 
We ni mvivu wa kufikiri, mwambie nduguyo ahamie Oysterbay kuna maji ya kutosha wakazi wote wa Dar!

Siyo Oysterbay tuu, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach, Salasala, Kunduchi, Tegeta, Book mpaka Bunju pressure ya Maji mpaka inapasua mabomba! Watu wana gardens hatari na mazingira murua sababu ya Maji! Ukiishi Gmboto, Buguruni, Kiwalani, mbagala, Tandika, Tandale na uswazi lazima uone Dar chungu!
 
inasemekana wajinga wengi wa nchi hii wamejazana DAR ES SALAAM , Hata kitoweo chao kikuu ni UTUMBO WA KUKU , VICHWA NA MIGUU YA KUKU !

Bora wangebaki huko huko mikoani kwao kuliko kuleta ujinga wao Dar...
 
Siyo Oysterbay tuu, Masaki, Mikocheni na Mbezi Beach, Salasala, Kunduchi, Tegeta, Book mpaka Bunju pressure ya Maji mpaka inapasua mabomba! Watu wana gardens hatari na mazingira murua sababu ya Maji! Ukiishi Gmboto, Buguruni, Kiwalani, mbagala, Tandika, Tandale na uswazi lazima uone Dar chungu!
Halafu mtu anatoka sehemu nzuri tu mkoani anakimbilia kuchuguu huko kwa Msakuzi!!
Hakuna umeme , maji wala njia ya kufika huko,hata chopa ya CDM haifiki huko,halafu anategemea maisha bora kwa wote.
 
Back
Top Bottom