Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nimebook flight ya wageni wangu kutoka Arusha kwenda Zanzibar na kurudi Arusha.....mmewapeleka vizuri........siku ya kurudi nimere-confirm na mkanihakikishia hiyo flight ipo.......wageni wangu wamecheck in saa 1215......kumbe mmecancel hiyo flight lakini hamkuwaambia........kwa nini wakati wana check in hamkuwaeleza wakarudi kufanya shuguli zingine.....?....hilo mnalijua wenyewe......
Watu wamekaa airport kuanzia saa tano mpaka saa kumi na mbili jioni kusubiri flight ya kutoka Zanzibar-Dar-Jro.....na route ilikuwa ni Znz-Dar-Ars.....nyie ni kina nani mpaka muharibu mipango ya watu.....?......kwa shingo upande walikubali huo upuuzi wenu kwa sababu hawakuwa na la kufanya......
Wamefika Dar wakaconnect vizuri mpaka JRO.....wamefika saa nne usiku.....hapo mliwahakikishia kuwa shuttle yenu itawasubiri kuwapeleka mjini kwa sababu kwanza mmewapotezea muda na mmewachosha......kufika JRO mnawaambia kuwa shuttle imeshaondoka kwa hiyo wakodi tax....really.....!!......bahati mbaya mlikuta wapo ngarangari.....likawashuka.....mkawakodia tax....ok wapeni basi mizigo yao waende.....khaaa....mmeiacha Dar.......what the f**k was that....!!....saa sita usiku.........kweli mmefuzu taaluma ya u-customer care.........kesho yake mkawaletea mizigo yao but hamkuwaomba hata radhi ya usumbufu.......man***na.......
Sasa basi.....wageni hao hao baada ya week na nusu wanarudi kwao.......wanakwenda Nairobi kuconnect international flight....mmewahakikishia shuttle yenu itaondoka saa tisa na nusu usiku kuwapeleka JRO.......tisa kamili wawe wamefika kituoni kwenu......usiku kama huo mtu hajalala.......ameamka kwenda kuwahi flight......kumbe hiyo shuttle haipo....mmecancell bila kusema.....mnapigiwa simu hampokei.....kweli......?......mlitegemea mtu afanye nini wakati huo ili hali taarifa hamkumpa.......?
Siwaharibii biashara lakini siku nikisikia mtu anasema anataka kufly na nyie......nitamkataza hata kwa kuvua nguo.......
ASANTENI SANA KWA HUDUMA YENU NZURI.......
Naamini kupitia JF ujumbe wangu umewafikia..........
Watu wamekaa airport kuanzia saa tano mpaka saa kumi na mbili jioni kusubiri flight ya kutoka Zanzibar-Dar-Jro.....na route ilikuwa ni Znz-Dar-Ars.....nyie ni kina nani mpaka muharibu mipango ya watu.....?......kwa shingo upande walikubali huo upuuzi wenu kwa sababu hawakuwa na la kufanya......
Wamefika Dar wakaconnect vizuri mpaka JRO.....wamefika saa nne usiku.....hapo mliwahakikishia kuwa shuttle yenu itawasubiri kuwapeleka mjini kwa sababu kwanza mmewapotezea muda na mmewachosha......kufika JRO mnawaambia kuwa shuttle imeshaondoka kwa hiyo wakodi tax....really.....!!......bahati mbaya mlikuta wapo ngarangari.....likawashuka.....mkawakodia tax....ok wapeni basi mizigo yao waende.....khaaa....mmeiacha Dar.......what the f**k was that....!!....saa sita usiku.........kweli mmefuzu taaluma ya u-customer care.........kesho yake mkawaletea mizigo yao but hamkuwaomba hata radhi ya usumbufu.......man***na.......
Sasa basi.....wageni hao hao baada ya week na nusu wanarudi kwao.......wanakwenda Nairobi kuconnect international flight....mmewahakikishia shuttle yenu itaondoka saa tisa na nusu usiku kuwapeleka JRO.......tisa kamili wawe wamefika kituoni kwenu......usiku kama huo mtu hajalala.......ameamka kwenda kuwahi flight......kumbe hiyo shuttle haipo....mmecancell bila kusema.....mnapigiwa simu hampokei.....kweli......?......mlitegemea mtu afanye nini wakati huo ili hali taarifa hamkumpa.......?
Siwaharibii biashara lakini siku nikisikia mtu anasema anataka kufly na nyie......nitamkataza hata kwa kuvua nguo.......
ASANTENI SANA KWA HUDUMA YENU NZURI.......
Naamini kupitia JF ujumbe wangu umewafikia..........