Recent content by hamrash

  1. H

    Male salon equipment

    0713 758165
  2. H

    Usafiri kwa njia ya Mabasi Tanzania pamoja nauli zake (kutoka UBT na Mikoani)

    Mafuta yanaendelea kushuka bei. Mbona nauli hazipungui bei? SUMATRA jipu lililoiva
  3. H

    Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

    Leo ndio nimejifunza kuwa dar sio mkoa. Nampongeza mwalimu wako aliekufundisha kwamba dar sio mkoa
  4. H

    Nyumba ya kupanga inahitajika

    Ndugu wadau. Nahitaji kupanga nyumba maeneo ya sinza, mwenge, ubungo, kimara au kijitonyama. Dau 250,000/= kwa mwezi. Nicheki 0713 758165
  5. H

    Computer4Sale Desktop PC, Monitor and Printer: All for 650k

    Mkuu chukua 400,000/= cash. Ni pm
  6. H

    Kuchukua Coordinates za eneo lako au unalotaka kulimiliki

    Nina maeneo hayajapimwa. Wasiliana nami 0774 205159
  7. H

    Walimu Dar kusafiri bure kwenye daladala

    Hongera MAKONDA kwa kuwa mbunifu. Mungu aendelee kukubariki.
  8. H

    Vitu vya nyumbani vinauzwa bei poa Mwanza

    Nimeshindwa kuweka bei. Bei ni maelewano maana ni bei chee sana. Kama upo serious uje uvione tufanye biashara. Nipo bugarika sokoni
  9. H

    Vitu vya nyumbani vinauzwa bei poa Mwanza

    Hi wadau, Naishi Mwanza (Nyamagana) Bugarika. Nimepata uhamisho wa kikazi kwenda mkoa mwingine. Naona kero kusafiri na vitu. Nimeamua kuuza vitu vifuatavyo: 1. Dish la futi 6 (euro star) na receiver (mediacom) pamoja na NLB 3; 2. Subwoofer; 3. Jiko lenye oven la mkaa ; 4. Coach za mninga na...
  10. H

    Uliza ujibiwe Kisayansi kuhusu viumbe pori

    kwa nini macho ya wanyama pori kama vile simba, chui n.k usiku huwa yanawaka kama tochi
Back
Top Bottom