Recent content by hammu

  1. hammu

    Ni tamu lakini zinachakaza na kuzeesha sana

    Kwa Maelezo ya Mkuu Kim nana Kansa ya shingo ya uzazi ni kama malaria
  2. hammu

    Mahaba Niue

    Ni Mahaba ndio maana bi Mkubwa nguo iko juu ya goti ...hata kama yeye amekoma
  3. hammu

    Mgao wa mali za Jide, Gadner 'UTATA'

    Yaweza zungumzwa kwa kejeli ya aina yoyote ile lakini sheria inasemaje washauri wa jide wanapaswa kufikiri mara mbili hasa mwenyewe jide Heshima ni muhimu Zaidi kuliko mali !!!
  4. hammu

    Jay Dee alipigwa na mume wake au?

    Wakuu wanandoa hawa bado wanapenda atokee wenye ama mwenye huruma awaunganishe tena .mungu mkubwa wanaweza wakarudiana
  5. hammu

    Hot story

    nimekukubali mwana,eeh!!! Mkuu
  6. hammu

    Hot story

    Mkuu google2014 hii ukiitengeza tamthilia safisana
  7. hammu

    Swali kwa wanaume

    Mkuu unaniangusha !
  8. hammu

    Swali kwa wanaume

    Mkuu ni Kweli ni Tatizo japo inawezekana lazima utakuwa na cha ziada wenzetu wale tunaowaita celebret tatizo lao linaanzia hapa kwa ndoa zao kuvunjika kitamtazamo mume na mke kila mmoja hupenda kummiki mwenzie itakuwaje mwenza wako hana sifa kama zako yule mama makamo wa Raisi yalimshinda
  9. hammu

    Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

    Tarajia lolote hasa litakalogharimu heshima yako unapoamua kuwa na uhusiano nje ya utaratibu wa kawaida yaani mume
  10. hammu

    Ajali mbaya Musoma: Basi la Mwanza Coach limegongana uso kwa uso na basi la J4

    Pole Sana wote ni msiba mkubwa kwetu sote muumba atujalie uvumilivu na subira katika huu mgumu !
  11. hammu

    Friends with benefit, nimepewa masharti magumu

    Yuko sahihi zaidi pengine anaamini hakuna jambo baya linaloendelea lakini lolote huenda likatokea hata hiyo hali ya kutopenda kumkosa huyo jamaa chanzo cha tatizo kwanini unapaswa kuwa katika halihiyo kwa mumeo tu waache wenyewe watengeneze na wewe tengeneza yako ndoa lakini bahati mbaya sana...
  12. hammu

    Friends with benefit, nimepewa masharti magumu

    Huyo unaimuita bi dada yuko sahihi sana ni vyema ukamuachia mwenzio mumewake ! Tafuta mwanamume wako na wewe
  13. hammu

    Nataka kuandika Wosia

    Amani ya bwana itushukie wote.unahitaji matibabu ya saikoloji nionavyo mimi bado unaguswa tukio la kuachana na babayao wote ni watoto wako kuwa kwao wanaume hawajapanga na babayao ukikumbuka watoto wako nawao wakiume wamo kwa namna yoyote ile.
Back
Top Bottom