hammu
Member
- Aug 25, 2014
- 16
- 8
dream, big dream!!!!
PRACTICAL FACT: Mwanamke akikuzidi elimu na pesa hawezi kukuheshimu. Labda kama unajidanganya tu.
Mkuu ni Kweli ni Tatizo japo inawezekana lazima utakuwa na cha ziada wenzetu wale tunaowaita celebret tatizo lao linaanzia hapa kwa ndoa zao kuvunjika kitamtazamo mume na mke kila mmoja hupenda kummiki mwenzie itakuwaje mwenza wako hana sifa kama zako yule mama makamo wa Raisi yalimshinda