Swali kwa wanaume

Swali kwa wanaume

dream, big dream!!!!

PRACTICAL FACT: Mwanamke akikuzidi elimu na pesa hawezi kukuheshimu. Labda kama unajidanganya tu.

Mkuu ni Kweli ni Tatizo japo inawezekana lazima utakuwa na cha ziada wenzetu wale tunaowaita celebret tatizo lao linaanzia hapa kwa ndoa zao kuvunjika kitamtazamo mume na mke kila mmoja hupenda kummiki mwenzie itakuwaje mwenza wako hana sifa kama zako yule mama makamo wa Raisi yalimshinda
 
Bora akuzidi elimu kuliko pesa akikuzidi vyote atakupa amri analolipanga ndilo hakuna kujadili nowma xana
 
Mkuu ni Kweli ni Tatizo japo inawezekana lazima utakuwa na cha ziada wenzetu wale tunaowaita celebret tatizo lao linaanzia hapa kwa ndoa zao kuvunjika kitamtazamo mume na mke kila mmoja hupenda kummiki mwenzie itakuwaje mwenza wako hana sifa kama zako yule mama makamo wa Raisi yalimshinda

Makamo wa rais nani?
 
Kuna familia moja ilikua ivo. Wakapata watoto, sasa wale watoto wakitaka kitu labda kuhusu shule yule mama anawambia mwambie baba atakupa hela, thn mama anazunguka anampa baba, baba anawapa watoto.... Watoto wanajua baba ndio katoa huduma....

Hao ni wanawake wachache sana kati ya mia unaweza ukakuta momoja au ukakosa kabisa....kuna jamaa yangu mmoja he almost commited suicide...mwanaye wa kiume openly at dinner table said.."We should pray for dad to get a job because he has no money like mom, mom is the one taking care of the family" na tangu hapo kiburi kwa watoto kikaongezeka.
 
Kuna familia moja ilikua ivo. Wakapata watoto, sasa wale watoto wakitaka kitu labda kuhusu shule yule mama anawambia mwambie baba atakupa hela, thn mama anazunguka anampa baba, baba anawapa watoto.... Watoto wanajua baba ndio katoa huduma....

mmmhhh hiyo nayo kali inamaana huyo faza hata kujituma hakuweza duh....watu kama hao mi hata sithubutu yan...
 
Hao ni wanawake wachache sana kati ya mia unaweza ukakuta momoja au ukakosa kabisa....kuna jamaa yangu mmoja he almost commited suicide...mwanaye wa kiume openly at dinner table said.."We should pray for dad to get a job because he has no money like mom, mom is the one taking care of the family" na tangu hapo kiburi kwa watoto kikaongezeka.

Sure kabisa yan wanawake wa skuiz kabisaaaa!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom