Hongera sana kwa kupata mke wa kirangi,na asante kwa kutaka ushauri pia,kuwa makini na hiyo kabila mana makabila baki yanayo oa hapo wanashindwa zaidi ya hapo wanaoana wao kwa wao sikushauri kuoa
Jaribu kumunya, mweleze afanyayo yatmgeukia pia kama si kwa mkewe kwa watoto wake, mwelimishe aache upuuzi huo sio urijali mwisho wa siku anaishia kasha,nadhani hajui kubadilisha kila dizn ya uchi ni kiwango kikubwa cha kupata kansa
Habari wakuu,siku zote mwanamke ndo anaeoneka hana mana,mke wa kukigawa kama njugu,naomba uliza kitu anagawa kwa kusimama au kwa kutongonozwa na wewe mwanaume? au wewe mume wa mtu unahaki ya kufanya upuuzi huo na secretary wako kwani hujaacha mke nyumbani mpaka ufanye huo upuuzi offisini...
Kupata mtoto ni majaliwa ya muuba wetu,umeamua kutoka nje ili uje kama wewe umzima au la na je yeye akiamua kutoka nje utamfukuza?fikiria kwanza kabla hujachukua maamuzi.
Ahsante mpendwa,vithibitisho vyote ninavyo na sikupenda kukisia hata kidogo mana mwenyezi mungu hapeki kukisia,baada ya hapo nilimuweka chini na akakiri hatorudia,nikaona nibadilike kidogo labda kunatatizo mahalstill tatizo liko palepale,mdodo wangu nimefikia hatua hata mapenzi kunako 6*6...
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje?
Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilifikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani. Nikiuliza tatizo nini hasemi, SMS kila siku goodnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.