Recent content by HAMIMU HAMIS

  1. HAMIMU HAMIS

    Wanafunzi shule ya msingi kuwalimia waalimu mashamba yao.

    Low payment sasa wafanyaje jamani na serikali haiwajali
  2. HAMIMU HAMIS

    Tanzania: Mhariri wa gazeti lililofungiwa Simon Mkina, atishiwa maisha

    Wamekosa uaminifu hao hawapati tonge letu tena
  3. HAMIMU HAMIS

    Wafanyakazi wa TPA watakiwa kushiriki maandamano ya kumpongeza Magufuli

    Katiba mbona anaikataa huyo kama ana mapenzi na nchi hii
  4. HAMIMU HAMIS

    Jafo: Tamko La serikali kuhusu posho, uhamisho na walimu kupanda mabasi bure kama Dar es salaam

    Nchi ya kubaguana wakuu wa shule wale posho wengine safe njaa huu uonevu sana watu hawatajituma
  5. HAMIMU HAMIS

    Jinsi Mbowe Anavyoshambuliwa na Bado Imara

    Hawana akili jamani hao wamelaaniwa
  6. HAMIMU HAMIS

    Hata Kusimamisha Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Rais Magufuli aliokoa Taifa

    Ccm wameishiwa pumzi kabisa Leo dhambi inawatafuna waliiba sasa wameamua kurudisha kwa uwezo wa Allah
  7. HAMIMU HAMIS

    Rais wa Tanzania 2020 ni Tundu Lissu

    Kweli kabisa
  8. HAMIMU HAMIS

    Mheshimiwa Rais Magufuli unda tume haraka kuchunguza mikataba ya gesi

    Sana na usipofanya ivo atafanya lowassa
  9. HAMIMU HAMIS

    Chenge: Mimi ni nyoka mwenye makengeza msaka pesa

    Chenge ni mwizi duh
  10. HAMIMU HAMIS

    Kwanini Ikulu haijawaalika watu hawa muhimu kwenye ripoti za madini?

    Acha izo lowasa mnamtaja wa nini
  11. HAMIMU HAMIS

    Nampongeza Rais, tulisubiri ulianzishe....

    Wote nyie wezi ni kuwatupa tu mmetuibia mno hakuna mabadiliko kupitia ccm hakuna wewe kama mzuri na una nia na nchi hii njoo chadema njoo ukawa ila kama huko sahau
  12. HAMIMU HAMIS

    Anna Mghwira apinga kuondolewa uenyekiti ACT Wazalendo

    Mtatiro mmemshindwaa hapa lazima mfeli
Back
Top Bottom