Double standard unaelewa maana yake au wwe ndio nkuulize shule ulisomea nni??? Huoni maandamano kwa upinzani yamekatzwa ila ya serikali yanaruhusiwa ssa kivp mnabagua hakiNchi iko na Rais mmoja tu hii huo udouble standards sijui shule ulisomea nini aisee.
Kwa sheria zipi??? Yaani mnajadiliana na wezi mnategemea wakulipe??? Hivi nchi tupo serious???nakumbuka UHURU , Tunaanza kupambana kupata UHURU WA KIUCHUMI; Hivi vitu vilikuwepo toka 1950-1961, Pressure hii wataleta mpunga wetu mapema
Hakuna kulala mpaka walete mpunga; Dunia nzima wanajua , ulimwengu unajua tunataka kuuaminisha ulimwengu juu ya dhuluma ya ACACIA
Hilo ni agizo mkuuMtu umwajiri wewe na umlipe kwa kodi yako lakini anapojaribu kufanya kazi uliyomtuma anataka uandamane kumpongeza.
Tunatakiwa tum-support rais na siyo kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
VUGUVUGU LA KUDAI CHETUNakumbuka wakati wa kuzindua ule mambo wa kukusanya mapato mtangazaji alikuwa anasema hawa vijana waliotengeza ni wazalendo na wanahitaji pongezi!
Rais akaja kumaind kama kwanini tuseme wanahitaji pongezi kwani si wamelipwa?
Sasa na yeye anapongezwa kwa lipi? Kwani hajalipwa mshahara?
Halafu tunampongeza kwa lipi wakati acacia wanakataa kama wao hawadaiwi?
Hizi akili Mungu atusaidie wabongo
hawezi kukubali itamtoa madarakani.Katiba mbona anaikataa huyo kama ana mapenzi na nchi hii
VUGUVUGU LA KUDAI CHETU
WAFANYAKAZI WA BANDARI; MASHIRIKA RELI, WANAVYUO TUUNGANE TUMPE NGUVU RAISI JPM KAMA WAZEE WA DAR ES SALAAM WAMEWEZA KWANINI TPA WAWE NYUMA .
GO GO MPK CHENJI YA 100 TRILIONI ILETWE
Ndiyo nini hii?
SIku nikiona trillion 100 cash! Ntaandamana peke yangu kumpongezaVUGUVUGU LA KUDAI CHETU
WAFANYAKAZI WA BANDARI; MASHIRIKA RELI, WANAVYUO TUUNGANE TUMPE NGUVU RAISI JPM KAMA WAZEE WA DAR ES SALAAM WAMEWEZA KWANINI TPA WAWE NYUMA .
GO GO MPK CHENJI YA 100 TRILIONI ILETWE