Jinsi Mbowe Anavyoshambuliwa na Bado Imara

Mungu nayainua macho yangu juu na kuwalani hawa wote wanaoshiriki kumwaribia Mbowe Shughuli zake kwani amewaajiri Tanzania ktk Shughuli hizo.Mungu wangamize na kuwateketeza kwa jina Yesu aliye hai pia natumia mamlaka ulionipa kuwakataa kwa Jina lako Yesu lililotukuka.Amina
 
Badala yake laana za aibu, kudhalilika na kuchemka kiuongozi zinawaendea hao hao wenyewe wanaojiona wao ni Myungu mtu ... matokeo yake imebaki kuendesha nchi kwa kiki na sanaa ... kila ukuchao ni vituko huku nchi inadidimia ... utaniambia safari hii budget ikikamilika kwa asilimia 25% ntantembea uchi mwezi mzima ...
Ni ukata kila kona ndugu yangu. Hivi sasa hata wakusanya kodi wenyewe yaani TRA hata kutoa driving license ni shida wanasema hawana matirial yà kuchapia leseni mara mitambo imeharibika. Mwanzoni ilikuwa ni wiki mbili unapata leseni sasa ni mwezi na...
 
Wajinga sana wote wanaofanya haya,na malipo ni hapa hapa.


Tume huru idaiwe mapema ccm itoke vinginevyo watanzania mtapata tabu sana
 
Tuliambiwa Tanzania ya Magufuli itakuwa Tanzania ya Viwanda. Wamefanikiwa sana ktk kudhibiti wapinzani kiasi kwamba nimeanza kuwaona Tundu Lissu, Msigwa na Mbowe kama viwanda vya fikra. Lissu ni kiwanda cha sheria, Msigwa kiwanda cha Falsafa na Mantiki, Mbowe kiwanda cha uvumilivu na uaminifu ktk kile mtu anakipigania.
UKIWA NA CHEREHANI 4 TAYARI HICHO NI KIWANDA KIDOGO - MWIJAGE
 
Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017

1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA

2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA

3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA

4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA

5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA

6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA

Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!

Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?
Ni baada ya lowassa kusema vijana wamlinde mbowe kama malkia ,ndio maana wanamliza kidunia lkini kiimani yuko imara,,
 
Mungu nayainua macho yangu juu na kuwalani hawa wote wanaoshiriki kumwaribia Mbowe Shughuli zake kwani amewaajiri Tanzania ktk Shughuli hizo.Mungu wangamize na kuwateketeza kwa jina Yesu aliye hai pia natumia mamlaka ulionipa kuwakataa kwa Jina lako Yesu lililotukuka.Amina
Amen
 
Ni baada ya lowassa kusema vijana wamlinde mbowe kama malkia ,ndio maana wanamliza kidunia lkini kiimani yuko imara,,
Na kama vijana wataamua kuwalinda viongozi kama Mbowe unadhani nchi itakuwa salama?
Kumbuka mambo yaliyokuwa yanafanywa na vikundi kama mungiki, unamuonea kiongozi wao kwa kutumia madaraka basi kama sio wewe rahisi kukupata,watampata mkeo au mwanao au wote pamoja na utabaki na majuto maisha yako yote.
 
Huyu Kiongozi Mbowe kwa ujumla sio mzee ila ni Mzee kijana hivi hawafikirii uwezo wa
 
Hawafikirii uwezo aliona wa kuwekeza na kuwapatia baadhi Watanzania ajira za kujikimu then mnaenda kumwaribia Shamba na Biashara zake. Hivi hao aliowaajiri ni wangapi ambao tumewaharibia maisha yao na familia zao. Hivi Mungu atakubali ccm iendelee kukubalika ktk jamii tusiingize ushabiki kwa hili jambo kwa limegusa familia nyingi za watu hizi ni dhambi. Hii nchi ina Wazee wetu wamekaa kimya hawaongei kuhusu anachofanyiwa huyu Mtoto wao wakiliacha liendelee mwisho litamee na likifikia hapo mwisho ni laana kwani watanzania wote ni ndugu. Kama wanaona sio wakwao ni sawa lakini wakumbuke Mbowe ni mtu mkubwa sana ktk nchi na mwenye ushawishi uliowashinda hao wanao muumiza yeye pamoja na wafuasi wake. Mbowe Mungu akulinde na azidi kukupa akili na uwezo mkubwa utakao inua taifa ili uzidi kuonekane ktk jamii ya taifa hili
 
Najiuliza kidogo tuu, kwa nchi kama Kenya yenye visasi vya wazi kiongozi wa Upinzani kama Odinga wanaweza watumishi wadogo kama DC kumfanyia uhuni kama huu? Sii itabidi awe analindwa na battalion nzima ya jeshi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom