Recent content by hamad123

  1. hamad123

    DC Makonda, ni Kujipendekeza au Utovu wa Nidhamu?

    Jamani wanajamii kwa hili mi namsadiki makonda kwani watu wetu wa jirani tunaishi nao vizuri na hatujui kesho zao kwani hizo ni picha na zinaonyesha alivoishi nao hapo before na sasani waheshimiwa hivo hawezi futa .maisha yanyuma jamani tuwe wakweli na si ushabiki mi sioni kibaya hapa kwani hata...
  2. hamad123

    Ukweli wa kifo cha Deo Filikunjombe

    Hii inamshiko
  3. hamad123

    Agizo lingine la Serikali ya Magufuli lapuuzwa

    Kweli funguka baba najua wakuu wameliona hili .
  4. hamad123

    Kitengo cha Zimamoto (Fire brigade) kiboreshwe

    Kwa kasi ya JPM naikubali kabisa naunga mkono, ila kuna kitengo hiki cha Zima moto ni muhimu kwa maisha ya jamii za chini lakini hakina maboresho tangu zama kwani ukiwaita hapa mara gari bovu, halina mafuta, likija maji halina yani hata watendaji ni wazee hata sijui hakuna muda wa kikomo cha...
  5. hamad123

    Kiongozi wa ACT-Wazalendo atoa waraka mzito kwa Serikali ya Magufuli juu ya sakata la Uchaguzi

    Mueshimiwa unahoja nzuri lakini mazungumzo ya nini wakati wananchi walishapiga kura maana yake atangazwe mshindi na sio mazungumzo ya kumsaidia raisi huwezi lazimisha jana iwe leo haiwezekani weka wazi tu ili tuone na maelewano ya upande wa pili ambao tunauhofia lakini naamnini woga wetu ndo...
  6. hamad123

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Kweli kabisa naunga mkono hoja .
  7. hamad123

    Rais Magufuli, naomba usitupeleke huku...

    Sasa nakuomba mwambie kama kaonewa kufukuzwa mwambie aseme nani alimwambia aachie makontena bila kulipiwa kama unamficha basi ndo utakuwa sadaka we sema kwani hata mueshimiwa rais kasema hajawahi kuruhusu mtu akwepe kodi hivo ni ujanja wenu .tu
  8. hamad123

    Vimemo Bandarini; Nani walikuwa wanaandika?

    Ni vizuri ili tueshimiane
  9. hamad123

    Kiasi kilichookolewa kwa kutokuwepo Baraza la Mawaziri

    Yani watu watatu kama milion tatu kwa hii spidi magufuri jembe.
  10. hamad123

    Taarifa ya Bakhresa Group kuhusiana na Upotevu wa Makontena

    Majiloo mbona unamtetea sana au we ni maslahi wa kampuni?
  11. hamad123

    Ratiba ya Utoaji heshima za Mwisho na kuaga mwili wa Alfonce Mawazo

    Mtoa mada jifikirie alie uwawa alikuwa nani?Mauro yake yametokana nanini?na je kiini cha siasa hii majibu unayo sio siasa tu fikiri kama ndo baba yako .,ikiwezekana cdm tanzania wauzurie mazishi ili tuonyeshe dunia dhidi ya nduli huu ukiwa mkweli unauwawa na kwe mazishi wavae kitambaa mdomoni na...
  12. hamad123

    Udhalalalishaji huu wa Kitengo cha Intelijensia haukubaliki

    Ukweli usiofichika marehem mawazo ameuliwa na wahusika wenyewe kuna kila cheche zinaonesha Mauti yake yametoka kwe system fulani ambayo hata kimtazamo inaonekana ni wapi jibu Lipo wazi na kwa maslahi ya system tu.swali akili nguvu mbinu zilizonekana juu yake ni halali au ndo .....uhuru wa kujieleza.
  13. hamad123

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Magufuri jembe halembi ukiharibu palepale anakuweka hewani.kwanza kasi isha ukweli jamaa katalii sana mafua tu UK tezi dumee UK
  14. hamad123

    Kwenye Jamhuri mengine hayawezekani, Tundu Lissu anafahamu pia

    Lisu ana hoja ya kweli kwani hii nchi ni jamuuri hivo kiukweli haina rais ila tanganyika ina rais ndo maana hadi sasa bunge halina wabunge wa baraza la wakilishi kama katiba ya muungano inavosema hivo magufuri hadi sasa ni rais wa tanganyika na si wa Tanzania.
  15. hamad123

    Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

    Kweli kabisa yani morogoro hasa hapo matombo ni kwetu lakini maendeleo hakuna kabisa nae kikubwa elimu kwani watu hawana mwamko kabisa na wanasiasa sio waminifu wamechukulia udhaifu kweli inauma sana .,ila kubadili hali hio hapa matombo kwanza watu wapate elimu..naomba watu na asasi mbalimbali...
Back
Top Bottom