mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,152
Kadi ya kupambana na ufisadi haiwezi kufanyika kikamilifu na chama kilekile ambacho makada wake ndio watuhumiwa wakubwa wa ufisadi. Sababu ni kwamba ukichimbua sana lazima viongozi wengi wakuu wa serikali iliyopita watakuwa implicated! Hapa ndipo Magufuli atakwama na kubaki kuhangaika na vidagaa.
Hii kazi ingeweza kufanyika vizuri zaidi km chama kingine kingeingia madarakani kwa ssbabu hakungekuwa na kuoneana aibu!
Hii kazi ingeweza kufanyika vizuri zaidi km chama kingine kingeingia madarakani kwa ssbabu hakungekuwa na kuoneana aibu!