Kila pempe ya nchi yanayofanyika anayajua sema watanzania kulalamika ni jadi yetu hata utawala wa pungo kwa nchele watu walilalamika pesa hakuna msubirini mwinyi arudie
Mbona mawaziri hamuwasemi nyinyi ni mtu moja mawaziri wenyewe kimya wala hawasikikin ni kikwangwala na mbarawa tu ndio wanaosikiki hao wasiosikika sioni wakilalamikiwa nyinyi ni magufili ndio mliomuanda ma peke yake kwa tarifa ana pasha kiporo kile cha kasi mpya maisha bora kwa kila mtanzania...
Simlisema kikwete ana cheka cheke kikwete ana safiri sana kikwete mtalii mara makufuli kila mara ana kwenda kwao haendi ulaya sasa tushike lipi mheshimiwa raisi ukilegeza basi ujue wananchi masikini umewaMaliza hivi hivi kama huyu kigwagwala anakifaa sana kiogozi mzuri niyule anaesikia tatizo...
Kama ni mizunga vumilia hata yeye alilea kwa tabu usione vyaelea vimeundwa ndio nyie mliobanwa na makufuli mbona zama za kikwete ulikuwa hulalamiki bado mtakula mapera
Bado sija amini kama watatokea wapinzani wakweli kama hamisi kalage na richadi kilango na mbonge munanga na kasela bantu lakini hawa akina shibuda na choyo hawa ni sawa na mpiga marimba anacheza na makalio tukubali matokeo
Nyerere walimpachika majina mchonga akanyamaza wakampa jingine musa akanyamaza hili habiliki alifoka usiku kucha ali sema mchonga ni jadi yake musa ali wakomboa wana waiziraili lakini hili hambiliki ataondoka na mtu nasema wewe mheshimiwa makufuli funga ufumbe macho funguo tupa porini
Mbona tume sahau mapema wakati wa kampeni watentaji wangi wa serekali walikua makufuli hawamtaki wale wale ndio wa saidizi wake wata furunda lawama kwa makufuli raisi mzuri sana waugwana wa adilifu wana muombe mungu usiku na mchana mimi nikiwa moja wapo nimeteseka sana na haki zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.