Recent content by halongbay

  1. H

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Mwanamke Mjini: Kujitegemea Bila Connection. Ni Kweli au Ndoto Tu?

    Mkuu unaweza ukawa sahihi kwa kiasi kikubwa! Ila wapo wanawake wapambanaji ingawa wachache ambao wamepata mafanikio pasipo wanaume kuwa factor. Wanawake hao wachache wamepata mafanikio waliyonayo kwa kutegemea maarifa, juhudi na maamuzi sahihi. Lakini pia ni kweli wanawake wengi ambao wanajitapa...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Dar zinazouzwa bilioni tano, zinastahili?

    Wakuu Tz kikatiba ni nchi ya kijamaa lakini tangu 1985 baada mchonga kuachia, TZ ni Taifa la Uchumi huru ambapo 95% ya bei za biadhaa mbalimbali ikiwemo ardhi uamuliwa na nguvu ya soko (supply & Demand). Serikali haiweki mkono isipokuwa tu pale Serikali inapotaka kutaifisha kwa maslahi ya umma...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Dar zinazouzwa bilioni tano, zinastahili?

    Upo sahihi Mkuu
  4. H

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Dar zinazouzwa bilioni tano, zinastahili?

    Mkuu kuna maeneo yana hiyo thamani: sqm 4000 beach plot masaki na Oysterbay ni Bilioni 6-8 na siyo rahisi kupata. Mdau anashangaa bei ya Nyumba ila determinant ya value ni location kama alivyosema. Mathalani, Bei ya kiwanja na rent ya North London ni tofauti sana Nottingham au Wolverhampton...
  5. H

    JamiiForums Tanzania First time nadrop Newyork city I was shocked

    Manhattan hasa subway inaongoza Duniani kwa kuwa na mapanya wengi na wakubwa. Kunuka ni uongo labda Bangi Treni chafu siyo kweli Uhalifu uliopo ni visasi na siyo udokozi wala ujambazi kule unalala mlango wazi. ndio maana hakuna fance wala walinzi binafsi majumbani Stress ya maisha magumu ni...
  6. H

    JamiiForums Tanzania First time nadrop Newyork city I was shocked

    Hapana New York ni ya kipekee hasa Manhattan Jiji ambalo kamwe halilali, maisha yapo chini ardhi, density ya kutisha, Manhattan Skyscrapers za kutisha, mitaa yote imenyooka na aina majina bali namba, Treni za ardhini na kelele za sauti road. Umeona wapi! Tokyo ina majengo marefu na density...
  7. H

    JamiiForums Tanzania First time nadrop Newyork city I was shocked

    Hapana New York ni ya kipekee hasa Manhattan Jiji ambalo kamwe halilali, maisha yapo chini ardhi, density ya kutisha, Manhattan Skyscrapers za kutisha, mitaa yote imenyooka na aina majina bali namba, Treni za ardhini na kelele za sauti road. Umeona wapi! Tokyo ina majengo marefu na density...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa majengo haulipi

    Recoup katika real estate ni miaka 8-15. Hivyo unapofanya uwekezaji katika eneo hili unapaswa kulijua hili. Kuhusu kulipa au kutokulipa kwa uwekezaji kwenye majengo siri yake ipo kwenye location. Ndio maana majengo yenye zaidi ya miaka 100 yaliyopo msasani beach, upanga yana return kubwa kuliko...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa majengo haulipi

    Mkuu umeongea vema.
  10. H

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa ushauri wa kisheria juu ya mgogoro huu wa ardhi

    Mkuu kesi za aina hii ni ngumu na zipo nyingi na uchukua muda mrefu kukamilika. Kwa ufupi akiwa na facts zinazothibitisha kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa awali na wengine ni wavamizi anashinda kesi. Ukweli mchungu ni kuwa Negligence katika usimamizi na uendelezaji unampa Rais uhalali wa ku...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Majengo mengi yanayojengwa Dar es salaam hasa maghorofa hayavutii(hayana mvuto)

    Mkuu upo sahihi kwa kiasi fulan ila nahisi GABORONE inaweza isiwe model sahihi.
  12. H

    JamiiForums Tanzania Range Rover ikizeeka inakonda

    Dah Mkuu! Nakupa taarifa tu LC haipo kwenye orodho ya gari zenye hadhi Duniani! Ni gari ya Africa na Asia. Kuna nchi unaweza kaa mwaka haujaiona barabarani. Hata Hapo bongo kuna baadhi ya wadau muhimu ugoma kuitumia kwa kigezo kuwa haina hadhi na siyo salama. Umewahi ona mara ngapi Range imepata...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Shamba nililonunua kwa Tsh laki 3 mwaka 2009 leo hii thamani yake imevuka Tsh 40m

    Mkuu upo sahihi, Ardhi mara nyingi huwa inaongezeka thamani sambamba na population. Rate kuongezeka samani siyo unique bali utegemea locality, location na area. Mara chahce sana ardhi inaweza ku - depreciate.
  14. H

    JamiiForums Tanzania Range Rover ikizeeka inakonda

    Nadhani kukosekana kwa Highway Dar kumemfanya jamaa asijue speed ya Range. Range inakupita road kama umesimama na wala haiyumbi, wakati LC Toyota ukiendesha over 160 mvua ikiwa inanyesha unatafuta kifo. Hakumbuki kuwa miaka ya nyuma kulikuwa na story kuwa hata haitakiwi kupita karibu na BoT...
  15. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume dhaifu mmeona game ilivyochezwa na 'Russian guy?' Kikombe cha maji and straight to bed

    Ukweli mchungu ni kuwa wanawake wengi kutoka Asia, Africa, Waarabu, Central America na South Amerika huwa wanatamani sana sana kuolewa au kugongwa na wazungu. Ingwa Asian na Waafrika ndio vinara. Kutokana na hali hiyo hata mzungu awe confirmed kuwa ana ngoma, chizi au over 70 years old, Asian na...
Back
Top Bottom