Dah
Mkuu umenikumbusha mbali sana. Story yako ina ukweli. Mwishoni mwa 1990s kabla daraja halijakamilika nilivuka hapo Rufiji river nikitokea Dar nikiwa na lika chini ya 16. Lengo lililkuwa kwenda Nangurukuru.
Tulifika hapo jioni kivuko hakifanyi kazi na ilikuwa lazima asubuhi niwe...
Pole Mkuu!
Upo sahihi kinadharia! "It takes two to tango"
Ila Mkuu sometime katika baadhi ya nyanja ni ngumu kwa jinsia ya kike na kiume kuwa na usawa timilifu.
Dunia tangu enzi ime set benchmarks ambazo kiuhalisia ni ngumu kuzibadilisha hata katika zama hizi za 50/50.
Mathalan, Mwanaume akila...
Mkuu udhaifu mkuu katika maamuzi ya mwanaume ni mvuto wa mwanamke. Hivyo mwanamke akijiweka katika mazingira ya kuvutia na kutamanisha uwa na uwezo wa kumfanya mwanaume afanye maamuzi kulingana na matakwa yake. Kwa ufupi mvuto wa mwananmke umfanya mwanaume apoteze uwezo wa kutumia akili...
Mkuu unaweza ukawa sahihi kwa kiasi kikubwa!
Ila wapo wanawake wapambanaji ingawa wachache ambao wamepata mafanikio pasipo wanaume kuwa factor.
Wanawake hao wachache wamepata mafanikio waliyonayo kwa kutegemea maarifa, juhudi na maamuzi sahihi.
Lakini pia ni kweli wanawake wengi ambao wanajitapa...
Wakuu Tz kikatiba ni nchi ya kijamaa lakini tangu 1985 baada mchonga kuachia, TZ ni Taifa la Uchumi huru ambapo 95% ya bei za biadhaa mbalimbali ikiwemo ardhi uamuliwa na nguvu ya soko (supply & Demand). Serikali haiweki mkono isipokuwa tu pale Serikali inapotaka kutaifisha kwa maslahi ya umma...
Mkuu kuna maeneo yana hiyo thamani: sqm 4000 beach plot masaki na Oysterbay ni Bilioni 6-8 na siyo rahisi kupata. Mdau anashangaa bei ya Nyumba ila determinant ya value ni location kama alivyosema. Mathalani, Bei ya kiwanja na rent ya North London ni tofauti sana Nottingham au Wolverhampton...
Manhattan hasa subway inaongoza Duniani kwa kuwa na mapanya wengi na wakubwa.
Kunuka ni uongo labda Bangi
Treni chafu siyo kweli
Uhalifu uliopo ni visasi na siyo udokozi wala ujambazi kule unalala mlango wazi. ndio maana hakuna fance wala walinzi binafsi majumbani
Stress ya maisha magumu ni...
Hapana New York ni ya kipekee hasa Manhattan Jiji ambalo kamwe halilali, maisha yapo chini ardhi, density ya kutisha, Manhattan Skyscrapers za kutisha, mitaa yote imenyooka na aina majina bali namba, Treni za ardhini na kelele za sauti road.
Umeona wapi! Tokyo ina majengo marefu na density...
Hapana New York ni ya kipekee hasa Manhattan Jiji ambalo kamwe halilali, maisha yapo chini ardhi, density ya kutisha, Manhattan Skyscrapers za kutisha, mitaa yote imenyooka na aina majina bali namba, Treni za ardhini na kelele za sauti road.
Umeona wapi! Tokyo ina majengo marefu na density...
Recoup katika real estate ni miaka 8-15. Hivyo unapofanya uwekezaji katika eneo hili unapaswa kulijua hili.
Kuhusu kulipa au kutokulipa kwa uwekezaji kwenye majengo siri yake ipo kwenye location. Ndio maana majengo yenye zaidi ya miaka 100 yaliyopo msasani beach, upanga yana return kubwa kuliko...
Mkuu kesi za aina hii ni ngumu na zipo nyingi na uchukua muda mrefu kukamilika.
Kwa ufupi akiwa na facts zinazothibitisha kuwa yeye ndiye mmiliki halali wa awali na wengine ni wavamizi anashinda kesi. Ukweli mchungu ni kuwa Negligence katika usimamizi na uendelezaji unampa Rais uhalali wa ku...
Dah Mkuu! Nakupa taarifa tu LC haipo kwenye orodho ya gari zenye hadhi Duniani! Ni gari ya Africa na Asia. Kuna nchi unaweza kaa mwaka haujaiona barabarani. Hata Hapo bongo kuna baadhi ya wadau muhimu ugoma kuitumia kwa kigezo kuwa haina hadhi na siyo salama. Umewahi ona mara ngapi Range imepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.