secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,491
Nimepatia, siyo?🤣🤣🤣🤣 jamani jamani!
Nimepatia, siyo?🤣🤣🤣🤣 jamani jamani!
Achana nae huyo yuko tabora huko makazi ya nyukiWabongo bhana , unadhani Jf kila mtu yupo mburahati au Kibaigwa ?
Daah mambo hayo!
Ulidrop kwenye daladala ukitokea Hawaii?🥶 Mji umesimamia ukucha balaa
View attachment 3577002
Hapana🤣🤣Nimepatia, siyo?
Basi sawa. Nimeenda wrong.Hapana🤣🤣
Mzee mshamba sana huyo, umri Usha mtupa mkonoAna mawenge
Huyo alikuwa anakudanganya tu alishakusoma unataka msaada utamuomba mshare naye chumba msaidiane kulipa kodi.Midtown Manhattan.
Jiji lina mengi sana hili.
Nilivyoingia kuna siku nilikiwa najieleza kwa Mmarekani mmoja kuwa "I am not from here". Namuona yeye Mmarekani mwenyeji.
Na yeye akaniambia "I am also not from here, I am not even from the Northeast".
Yani mimi nilivyojiona mgeni New York City natoka Tanzania, na yeye eti alikuwa anajiona mgeni katoka huko Marekani ndanindani.
Nikataka kusema lakini wewe afadhali Mmarekani, lakini nikaona dah, nipambane na hali yangu tu hatanielewa.
Wabongooo.Huyo alikuwa anakudanganya tu alishakusoma unataka msaada utamuomba mshare naye chumba msaidiane kulipa kodi.
Hapana New York ni ya kipekee hasa Manhattan Jiji ambalo kamwe halilali, maisha yapo chini ardhi, density ya kutisha, Manhattan Skyscrapers za kutisha, mitaa yote imenyooka na aina majina bali namba, Treni za ardhini na kelele za sauti road.Hamna kitu
Ukishafika nchi nyingi za Western Europe wala hata hautaona utofauti, labda kama unatokea Kimbiji moja kwa moja ukaingia.
Manhattan hasa subway inaongoza Duniani kwa kuwa na mapanya wengi na wakubwa.Sosho media zimeniharibia kabisa picha ya NYC. Eti umejaa panya, unanuka, treni chafu, uhalifu na umejaa watu wanaokimbizana na hela ya kodi muda wote.