Itanichukua Muda sana mi kuoa ninayo yaona ni mengi sna kwenye ndoa za sasa...mke wa mtu anampost bwana ake mitandao yote na baadae anakusumbua amemiss dudu.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri siku ya hukumu tu hakuna haja ya kubishana sana kwa sasa ujuaji ushakuwa mwingi sana..! ..kila mtu kashaiona haki na batili atakeamua kuifata ni bora kwake atake amua kuiacha nae shauri yake muda wa kurushiana aya na vitabu ushapita saa hiz.! ...muda si mrefu kitaeleweka
Sent using...
Wazungu wanafikia sana huyu mzugu kajifanya yupo positive sana serikali ya magufuli kumbe anamchimba yasemwe mengi...jamaa mnafiki sana na Lissu hajababaika sema kwenye hilo la ushoga lilikiwa gumu kwake na amejitahid kulikwepa ila janaa kamkomalia na nadhan imebidi alikubali ili aungwe mkono na...
Hao Big five ni wanyama hatari kabisa kwa binadamu hao ndio wanao ongoza kwa vifo vya binadamu kuliko mnyama mwingine yoyote ndio sababu hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Last week nimenyooosha mke wa mtu alikuwa ananitaka yeye kanisumbua kanipeleka hotel na kalipia kila kitu yeye na jana kuna kadem nimekapa zawadi ya perfume ilikiwa Birthday yake na leo kaachia goli nimefumua na kana mtu wake na nimemaliza kumla kampost bwana ake status....sasa siwaamin hawa...
Mwanamke niliezaa nae nilimuacha baada ya kupewa taarifa na rafiki yake kuwa analiwa na boss wao kazin ili apandishwe cheo nikafatilia nikajua kweli nikapiga chin,mi usaliti huwa sisamehi na cha pili nilikuja kugundua ana issue za waganga sasa mtoto akiwa na miez tisa akapata wa kumuoa...
Huyu ni mtarajiwa wangu ila nimempata kipindi nipo naye siku za mwanzo mwanzo kibaya ni kuwa huyo mwanamke walishakutana but tukiwa tumeshaachana na hapo kashajifungua likatokea timbwili sababu yule niliyezaa naye alikuwa bado ananitaka so alikuja kwangu bila taarifa na mwenzie alikuwepo lakin...
Nina kesi kama yako bado sijajua chs kufanya ila ndugu wote wanajua na anaish kwa sister angu nilishamchukus kutoka kwa mama ake.....natembea na bomu mwenzenu...match za kirafiki mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari
GWAJIMA kasema ukweli mi ni muislam kasema ukweli kwa upande aambao alitakiwa uasemee ila ametumia hekima asiwe muogo ameficha tu baadhi ya infomation ambazo hata ningekuwa mimi ndio yeye nisingezisema
Mwaka jana CNN walitoa decumentary wayoipa jina the spread of islam in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.