Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,372
Habari wakuu,
Kichwa cha habari kinajieleza,
wanyama wafuatayo wapo kwenye kundi lijulikanalo kama the 'Big five of Africa' nao ni Tembo,Faru,Nyati,Simba na Chui.
Katika kufuatilia kwanini wanaitwa the big five,sababu inayotajwa ni kwamba ni wanyama hatari ambao pia ni vigumu kuwawinda,
Swali: Je Chui ni hatari na mgumu kuwindwa kuliko Duma(Cheetah) mnyama mwenye kasi kuliko wote?
Wataalam tusaidieni,
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari kinajieleza,
wanyama wafuatayo wapo kwenye kundi lijulikanalo kama the 'Big five of Africa' nao ni Tembo,Faru,Nyati,Simba na Chui.
Katika kufuatilia kwanini wanaitwa the big five,sababu inayotajwa ni kwamba ni wanyama hatari ambao pia ni vigumu kuwawinda,
Swali: Je Chui ni hatari na mgumu kuwindwa kuliko Duma(Cheetah) mnyama mwenye kasi kuliko wote?
Wataalam tusaidieni,
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app