ASALAM ALEYKUM. WANA WAKE WA SIKU HIZI NI WA AJABU SANA MFANO MMOJA HUYO ANAE JIITA DIVA THE BOSS YULE ANATAKA 500 MIL MAHARI SASA SWALI BIKIRA ANAYO KAMA HANA HAO WALIOMTOA WALIMPA HATA THELUTHI YA KILE ALICHOHITAJI ANSWER IS NO. SASA WENGINE UTASIKIA MIMI UKE WENZA SI HITAJI LAKIN WAKUZINI NAO...
Piga chini Huyo pasua kichwa atakusumbua. Hiyo imetokea hata ktk kipindi cha SHILAWADU cha I jumaa ya tareh 2 february 18 fumanizi ilionyeshwa. Kwahio nashauri Huyo hana mapenzi ya dhati na wewe. Lakini pia wewe mwenyewe ujitasimini je hauna mchepuko
Pole sana Kaka mkubwa kwa mtihani wa namna hiyo maana watoto wa sikuhizi hawasikii la mnadi swala wala la muadhin. My take ktk hili ni kwamba waite ndugu zako wa kike ili wakae nae private ili waongee nae na wewe usipanik kwanza kwa hicho ulichokiona chumba ni kwake. Baada ya mazungumzo yao...
Brother take your time mwanamke ambae anafikilia kutoa tigo Huyo sio na ndio maana huenda anawakubali hao wengine kwa sababu ya huo ujinga wa tigo anayo toa na wewe huenda hauendi ktk tigo so ni taabu. Naomba piga chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.