Na kwa kawaida hicho kipimo hakiwezi onyesha huna wakati unayo.
Ila kinaweza onyesha unayo but unashauriwa ukacheki kwa vipimo vingine maana any STIs kinasense postive
Upo sawa tunachoangalia ni mda ule reaction inapotokea maana bioline test ikikaa mda inaweza badilika badilika baada ya kupima ila pamoja na mabadiliko hayo haiwezi onyesha exactly kama una hiv na huku hauna
HIV inatokea endapo mstari utasimama kwenye 1 au 2 au vyote kwa pamoja
Hongera kwa kua na finest brain[emoji2][emoji2]
Kumbe medical school inakupa kiburi hihihihi jitahidi ukaspecialize CVS sasa uvimbe kabsaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.