Recent content by haggai32

  1. haggai32

    Kumbe (waziri mkuu wa wingereza) David Cameroon shoga!

    Cameron **** tu...,aendeleze ujinga huo kwenye nchi yake . laiti tungekuwa na kiongozi ambaye angesema No machoni pake ingekuwa safi sana, abaki na paundi zake , halafu kampuni zao ziondoke huku Africa tukianzia .
  2. haggai32

    Tusikubali misaada ya uingereza kama kigezo ni kuhalilisha laana ushoga Tanzania

    Achaneni na Uingereza , acha kuwa omba omba....tuko waafrika zaidi ya bilioni moja sasa hivi hilo pekee ni mtaji tosha...we have to draw a line somewhere..
  3. haggai32

    UK yataka Tanzania na nchi zinazoendelea zitambue haki za mashoga

    Afrika inatakiwa kuamka usingizini....hasa viongozi...achaneni na mahayawani hao...hawana mpango kabisa sasa tunaweza kuendesha uchumi wetu wenyewe. kama tutapata viongozi wenye msimamo. (Mbona Cuba ,North Korea,Burma, bado zipo pamoja na vikwazo vyote tutapata shida lakini tukitumia...
  4. haggai32

    UK yataka Tanzania na nchi zinazoendelea zitambue haki za mashoga

    Hapa nafikiri ni kutambua nguvu ya Africa iko wapi...kuna zaidi ya watu Billioni moja sasa hv kwenye bara ,hili...viongozi wa Africa watambue kwamba bara hili linaweza kujiendesha lenyewe kiuchumi...bila kutegemea Uingereza au nchi nyingine yeyote, suala ni kuwa na mikakati endelevu na sauti...
  5. haggai32

    Mgogoro Hazina, BoT, serikalini; hakuna malipo!

    safi sana.....ndio tunyoroshwe vizuri "no pain no gain"
  6. haggai32

    Jamani ntamuachaje huyu msichana?

    Umemaliza kila kitu...
  7. haggai32

    Uranium Mining Projects In Tanzania: Progress...

    Tanzania ina physcists wa kiwango gani , world class au ! basi ili mradi tu , umeshaona hata paper moja kwenye journal ya kimataifa kuhusu masuala ya nuclear iliyondikwa na mtanzania ? . hatufanyi hata basic research kwenye masuala hayo unafikiri knowledge itatoka wapi ? Ninapo ongelea world...
Back
Top Bottom