Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Kwanini haya yote yanatokea kipindi hiki tunapoelekea kwenye kikao cha Bunge? I smell something bad...
Kwakuwa tumezoea serikali ambayo haina system inayofunction yenyewe mpaka iburuzwe na kiongozi, basi kiongozi akiwa dhaifu na system inakuwa dhaifu. Kama kuna chama kitakachoweza kujifunza, basi hili ni somo kuimarisha utawala ambao hautegemei mtu mmoja bali sera na mfumo na staili ya utawala ya kichama ambayo hata kiongozi dhaifu hawezi kuidhoofisha... Mpo
Kwakuwa tumezoea serikali ambayo haina system inayofunction yenyewe mpaka iburuzwe na kiongozi, basi kiongozi akiwa dhaifu na system inakuwa dhaifu. Kama kuna chama kitakachoweza kujifunza, basi hili ni somo kuimarisha utawala ambao hautegemei mtu mmoja bali sera na mfumo na staili ya utawala ya kichama ambayo hata kiongozi dhaifu hawezi kuidhoofisha... Mpo