Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Ningekuwa Kikwete ningewaambia
Waingereza, bora kufa kwa njaa kuliko kuwa
shoga mwenye shibe. Maana mwisho wa siku
hata shoga mwenye shibe atakufa tu.
Kikwete hana ubavu huo, siyo yeye tu hta ukusanye ukoo wake wote n mtoto wake ridhwan hawana nguvu ya kusema..NO
Hapa ndio wababe kama Nyerere na Mkapa ungewasikia live wakisema No...SIYO JK