Recent content by Habdavi

  1. Habdavi

    JamiiForums Usiku wa manane

    5:37 kuna mvua kubwa sana inanyesha
  2. Habdavi

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Ki Biblia tumekadiriwa miaka 70, kwa hiyo assumption ni kuwa mtoa mada ametimiza miaka 30+ Kufa kabla ya miaka 70 ni matokeo tu ya namna ulivyoamua kuishi ila aliyokupangia ni hiyo 70.
  3. Habdavi

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Siyo kwamba naikandia ajira ila nimeona ndoto za watu zimeshindwa kutimizwa kwa kukosa muda tu wakufanya hilo wazo lake.
  4. Habdavi

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Kama una ajira acha kazi huku ukiwa na uhakika wa ku survive nje ya ajira.
  5. Habdavi

    Mapenzi ni umasikini mtupu?

    Kuna yule mwehu mwingine anadai tuzae na wanawake wenye "sura nzuri" ili watoto wako baadae wasipate shida kwenye ajira na kupata mwenzi. Huu mwezi kuna thread za ajabu ajabu sana.
  6. Habdavi

    ‎Kwenye haya maisha nidhamu ya pesa ni muhimu sana hakuna kitu kinaumiza akili na mwili kama kufilisika/bankrupt

    Huwa ukisoma Bible vizuri inakupa onyo kabla balaa kutokea. Huyu inaonyesha kabisa pesa alipata lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo yakamkuta hayo anayolalamikia. Hakuwa na mipango ya kuendeleza kile alichokipata.
  7. Habdavi

    ‎Kwenye haya maisha nidhamu ya pesa ni muhimu sana hakuna kitu kinaumiza akili na mwili kama kufilisika/bankrupt

    Ecclesiastes 5:14 [14] na mali hizo zimepotea kwa bahati mbaya; naye akiwa amezaa mwana, hamna kitu mkononi mwake.
  8. Habdavi

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    NWO = Zionist + Vatican + British Empire
  9. Habdavi

    Ni msoto gani wa kimaisha uliowahi kuupitia, uliokufanya ujue maisha si lelemama?

    Pesa ni matokeo ya nguvu za mwanaume kufanya kazi kwa bidii, hawa wenzetu nguvu hawana so wao wako kusubiria matokeo ya nguvu zako ili wazitumie. Kama hana kazi atakuwa tegemezi, kama anazo basi ujue papuchi hutapata bure.
  10. Habdavi

    Seven reasons why some of Degree holder are Poor

    Neno la leo kutoka kwa huu uzi, "Think outside the box"
  11. Habdavi

    Tetesi: CRDB wameibiwa zaidi ya bilion 3 za wateja kwenye hacking ndio maana wakaweka siku za kujihakiki kubadili mfumo

    Tatizo siyo kiasi, wadau wanaozungumzia system kuwa compromised na kuruhusu mafedhuli kuibia benki. Leo wameanza na kidogo 3 Billion, kesho huwezi jua?! Inaweza isiwe CRDB, labda benki nyingine au pengine hata BOT yenyewe.
  12. Habdavi

    Kama yanayosemwa ni kweli Tanzania ndio nchi inaongozwa kutafunwa

    PLC (Public Limited Company) ikihusisha na hao wawekezaji wa nje kwa mgao wa hisa 49% PLC na 51% private ownership ndio angalau itapunguza malalamiko
  13. Habdavi

    Nataka kuuacha huu mzigo wa Milioni 18 humu M-Wekeza mpaka 2030, vipi nitapata kiasi Gani wakuu?

    Ukitumia 72 rule hela ilitakiwa imejizidisha mara mbili ndani ya miaka 5 na miezi 6.
  14. Habdavi

    Maeneo haya kampeni ya afya ya kinywa ikafanyike sana, hali ni mbaya

    Naona mara nyingi wao wanakuwa nazo. Maduka ya kawaida sijawahi ona. Kama upo sehemu hakuna supermarkets, tumia uzi tu wa nguo. Nao unafanya kazi ile ile (kuondoa mabaki ya vyakula)
Back
Top Bottom