Ki Biblia tumekadiriwa miaka 70, kwa hiyo assumption ni kuwa mtoa mada ametimiza miaka 30+ Kufa kabla ya miaka 70 ni matokeo tu ya namna ulivyoamua kuishi ila aliyokupangia ni hiyo 70.
Kuna yule mwehu mwingine anadai tuzae na wanawake wenye "sura nzuri" ili watoto wako baadae wasipate shida kwenye ajira na kupata mwenzi. Huu mwezi kuna thread za ajabu ajabu sana.
Huwa ukisoma Bible vizuri inakupa onyo kabla balaa kutokea. Huyu inaonyesha kabisa pesa alipata lakini mambo yakaenda ndivyo sivyo yakamkuta hayo anayolalamikia. Hakuwa na mipango ya kuendeleza kile alichokipata.
Pesa ni matokeo ya nguvu za mwanaume kufanya kazi kwa bidii, hawa wenzetu nguvu hawana so wao wako kusubiria matokeo ya nguvu zako ili wazitumie. Kama hana kazi atakuwa tegemezi, kama anazo basi ujue papuchi hutapata bure.
Tatizo siyo kiasi, wadau wanaozungumzia system kuwa compromised na kuruhusu mafedhuli kuibia benki. Leo wameanza na kidogo 3 Billion, kesho huwezi jua?! Inaweza isiwe CRDB, labda benki nyingine au pengine hata BOT yenyewe.
Naona mara nyingi wao wanakuwa nazo. Maduka ya kawaida sijawahi ona. Kama upo sehemu hakuna supermarkets, tumia uzi tu wa nguo. Nao unafanya kazi ile ile (kuondoa mabaki ya vyakula)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.