Nilibahatika kuwa na Boss level 5...Dah sijui kama itajirudia tena nafasi kama ile. Niliweza kuona upande mwingine wa dunia ambao nilikuwa sijawahi kuuona.
Alikuwa anatembelea VW Amarok. Ile gari tu yenyewe ni pepo nyingine kabisa.
Umefanywa jiwe la kuvuka mto...siyo wewe tu; naamini wanaume wengi tumepitia mapito ya kufanana mpaka kumpata mwenza aliye sahihi.
Nilichojifunza kupitia kisa hiki; ukikataliwa kubali na usonge mbele. Mambo mengine ni ya kupita tu na kuweka historia
Ukweli ni kwamba majukwaa yanayoongoza kusomwa na kuchangiwa yamejaa watengeneza maudhui wa mitandaoni ambao kiuhalisia ni waandishi wa habari. Watu wenye upeo wa mambo ya uchumi/biashara ni wachache sana.
Kwa wakati huo teknolojia iliyokuwepo ilikuwa VHS video tapes. Archive records zipo na TBC ndio wenye hizo records; Kuziona hizo Archive records kuna utaratibu wake nadhani; hivyo kwa mtu mwenye uhitaji huo anaweza kufika pale na kupatiwa utaratibu zaidi.
Pay As You Earn (PAYE)
Kodi hii hutozwa moja kwa moja kwenye mapato ya mtu binafsi au shirika/kampuni. PAYE ni utaratibu wa kisheria unaotumika kukusanya Kodi ya Mapato ya mtu binafsi kutoka kwa watu walioajiriwa. Kuna jedwali linaonyesha kiwango cha mshahara na kiwango anachopashwa mtu kukatwa...
Swali kwako; unawafundisha hivi huko vyuoni? Kwa ID yako inashabiana na mhadhiri wa chuo. Siko hapa kuonyesha nani ni nani zaidi kuhusu mambo ya kodi; nipo kukusahihisha tu kuwa uliyoyasema hayana ukweli wowote.
* Wauzaji hawahifadhi VAT wanayotoza. Kwa mujibu wa sheria, biashara hufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.