Recent content by Habdavi

  1. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Maisha Yana Level 5 Wakuu, Tatizo Watu wa Katikati tunajiona Maskini Sana

    Nilibahatika kuwa na Boss level 5...Dah sijui kama itajirudia tena nafasi kama ile. Niliweza kuona upande mwingine wa dunia ambao nilikuwa sijawahi kuuona. Alikuwa anatembelea VW Amarok. Ile gari tu yenyewe ni pepo nyingine kabisa.
  2. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Kero za Muungano zimebadilika, What if Muungano ukavunjika?

    Mtu chake; iweje mnaruhusu vya kwenu kuchukuliwa na wengine? Huu ukomo wa kukopa ukifika tutajilaumu sana.
  3. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Tuambie wallet yako ina kitu gani hapo?

    Rudini kwenye misingi walioweka Babu na Bibi zetu. Hii 50/50 kwa huku Afrika haitekelezeki
  4. Habdavi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usikubali kuonewa huruma, unastahili heshima

    Umefanywa jiwe la kuvuka mto...siyo wewe tu; naamini wanaume wengi tumepitia mapito ya kufanana mpaka kumpata mwenza aliye sahihi. Nilichojifunza kupitia kisa hiki; ukikataliwa kubali na usonge mbele. Mambo mengine ni ya kupita tu na kuweka historia
  5. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Ni Kwasababu gani majukwaa ya Uchumi hayapati wachangiaji wengi kwenye nyuzi ukilinganisha na Jukwaa la Mapenzi?

    Uchumi/Biashara unataka facts, data, research, analysis. Wengi wao wanakimbia hoja kama hizi
  6. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Ni Kwasababu gani majukwaa ya Uchumi hayapati wachangiaji wengi kwenye nyuzi ukilinganisha na Jukwaa la Mapenzi?

    Watu wanaogopa kuongelea uhalisia wa maisha yao. Uhalisia mara nyingi unachoma moyo kama mkuki.
  7. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Ni Kwasababu gani majukwaa ya Uchumi hayapati wachangiaji wengi kwenye nyuzi ukilinganisha na Jukwaa la Mapenzi?

    Ukweli ni kwamba majukwaa yanayoongoza kusomwa na kuchangiwa yamejaa watengeneza maudhui wa mitandaoni ambao kiuhalisia ni waandishi wa habari. Watu wenye upeo wa mambo ya uchumi/biashara ni wachache sana.
  8. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Kwa wakati huo teknolojia iliyokuwepo ilikuwa VHS video tapes. Archive records zipo na TBC ndio wenye hizo records; Kuziona hizo Archive records kuna utaratibu wake nadhani; hivyo kwa mtu mwenye uhitaji huo anaweza kufika pale na kupatiwa utaratibu zaidi.
  9. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Quantum immortality. What if death is something other people experience about you, but not something you ever experience yourself?

    It is another dimension; matter, space, time does not exist. Think of it as a window of a new reality where physical matter does not exist.
  10. Habdavi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Moja ya sababu kubwa ya mahusiano kuvunjika ni wanaume kuwa na wanawake wanaotoka kwenye familia za kimasikini sana (Absolute poverty)

    Ukikutana naye usiweke commitment yoyote.
  11. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Pay As You Earn (PAYE) Kodi hii hutozwa moja kwa moja kwenye mapato ya mtu binafsi au shirika/kampuni. PAYE ni utaratibu wa kisheria unaotumika kukusanya Kodi ya Mapato ya mtu binafsi kutoka kwa watu walioajiriwa. Kuna jedwali linaonyesha kiwango cha mshahara na kiwango anachopashwa mtu kukatwa...
  12. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Swali kwako; unawafundisha hivi huko vyuoni? Kwa ID yako inashabiana na mhadhiri wa chuo. Siko hapa kuonyesha nani ni nani zaidi kuhusu mambo ya kodi; nipo kukusahihisha tu kuwa uliyoyasema hayana ukweli wowote. * Wauzaji hawahifadhi VAT wanayotoza. Kwa mujibu wa sheria, biashara hufanya kazi...
  13. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Bolded text Are you sure of what you're talking about? Course coordinator hapo umetulisha matango pori.
  14. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Uzi wa vyakula tu

    Wapi naweza kupata chakula cha mchana wanaopika hivi? Siyo kila siku chips zege.
  15. Habdavi

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM walia chonde chonde marekani hilo rungu la Donald Trump lisitufikie, waomba waende Marekani kujieleza bunge la senate / congress

    Mwambie afungue simu yake tu...hajui Google wanamrekordi kila anachokifanya
Back
Top Bottom