Nilipoona sababu zinazotolewa ni kwa nia ya kupunguzwa huku nikiwa na vigezo vyote, nikaamua kuachana na kutafuta ajira. Mimi ya kwangu waliniandikia 'you are overqualified for this position ' Nikasema WTF!
Deni la Taifa ni kubwa mno ingawa wanasema ni stahimilivu. Shirikisho litatatua tatizo la ongezeko la ukuaji wa deni la taifa. Zaidi tujikite kuongeza mifumo ya ICT itakayojumuisha uendeshaji wa pande zote mbili.
Wengine wamejikuta katika mazingira siyo sahihi wao kuishi kutokana na watu waliowazunguka. Ogopa sana mtu mwenye wivu ule mbaya wa mafanikio yako. Wivu ule anatamani urudi nyuma ili muwe sawa au chini yake.
Ukitaka kuwafahamu vizuri jifanye unapitia wakati mgumu kiuchumi. Mimi wangu nilikuwa nagombana naye kila siku, namuuliza au unataka uniue? Kila siku mnagombana kisa kazidisha mafuta, chumvi kwenye chakula. Ingawa hakuonyesha wazi ila moyoni alikuwa yupo radhi mimi nife. Dah nashukuru nimepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.