Au sababu afande Mkisi pia alikua msomi sana kwa kipinde kile mjeda unamfundisha hadi UDSM still ni headmaster jite na bado ni Kanali jeshini alikua kichwa haswa Soo wakubwa zake pia hawakupenda maendeleo yake japo alikua kichwa sana
Mbonabucha alitufundishaga Physics uyo ticha form 2 c2 alikua na mguu mbovu alikua anapenda totoz sana alikua tozi smart mda wote ila walikua wanamsema ana ngwengwe kitambo sana maana wanasema mkewe alifarikigi na ngwengwe pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.