Usaili TRA ni lini?

Usaili TRA ni lini?

Ila ukweli Sekretarieti ya ajira (psrs) ilitakiwa kuendesha interview hii, hawa tra hata siwaamini
Hao PSRS pia watu wengi hawapati fursa za kufanya Interview kwa sababu ya vigezo finyu wanavyoviweka.
 
Vigezo gani finyu walivyoweka?
kama umekosa TRA kipindi wanasimamia utumishi interview kupata huku usimamizi wa TRA wenyewe kwa kweli ni kuomba sn mungu na kusoma usiku na mchana maana interview zao mnakuta watu wa customs lakini hayo maswali yanayotolewa hayahusiani na customs kwa kifupi mungu awasimamie mlioomba na msome sana mjiandae
 
Vigezo gani finyu walivyoweka?
Kwa mfano mtu kama una BBA au BCOM huwezi kuomba nafasi ya Accounting hata kama upo na CPA. Unless wa specify kwenye tangazo la ajira kama ukiwa na CPA unapata kazi.

Mtu ambaye ana BCOM Flat kwenye system yao upande wa kuchagua Qualifications, hakuna sehemu ya kuchagua, wanataka lazima iwe BCOM in something(accounting, finance, trade etc).
 
Kwa mfano mtu kama una BBA au BCOM huwezi kuomba nafasi ya Accounting hata kama upo na CPA. Unless wa specify kwenye tangazo la ajira kama ukiwa na CPA unapata kazi.

Mtu ambaye ana BCOM Flat kwenye system yao upande wa kuchagua Qualifications, hakuna sehemu ya kuchagua, wanataka lazima iwe BCOM in something(accounting, finance, trade etc).
Vipi kuhusu usawa na uwazi, TRA VS PSRS wapi kuna uwazi.
 
Vipi kuhusu usawa na uwazi, TRA VS PSRS wapi kuna uwazi.
Mfumo wowote unaosimamiwa na binadaam hauwezi kuwa perfect 100% nikuomba tu mungu na kujiandaa km hvyo kuna wanaolalamika TRA hakuna usawa lakini kuna wengine wanafurahi PSRS walikua hawapati nawafasi kuomba vigezo vilikuwa vinawabana lakini kupitia TRA wamefanikiwa kuomba.
 
Mfumo wowote unaosimamiwa na binadaam hauwezi kuwa perfect 100% nikuomba tu mungu na kujiandaa km hvyo kuna wanaolalamika TRA hakuna usawa lakini kuna wengine wanafurahi PSRS walikua hawapati nawafasi kuomba vigezo vilikuwa vinawabana lakini kupitia TRA wamefanikiwa kuomba.
Unafanikiwa kuomba huku mkeka ushapangwa?
Huwezi kulinganisha uadilifu wa mfumo wa kuajiri kwa psrs na mfumo wa kuajiri kupitia tra!.
 
Unafanikiwa kuomba huku mkeka ushapangwa?
Huwezi kulinganisha uadilifu wa mfumo wa kuajiri kwa psrs na mfumo wa kuajiri kupitia tra!.
hatari sana mkuu mikeka inakuwa ishapangwa watoto wa masikini kukamilisha ratiba tu
 
hatari sana mkuu mikeka inakuwa ishapangwa watoto wa masikini kukamilisha ratiba tu
Kuna tangazo la interview ya Shirika fulani la umma majina walioitwa interview yanafanana na majina ya mabosi
 
Kumekucha..
 

Attachments

  • IMG-20250321-WA0005(1).jpg
    IMG-20250321-WA0005(1).jpg
    123.6 KB · Views: 11
Back
Top Bottom