Hongera kwa wema huo ni vyema umetumia busara hii...ngoja tuisambaze hii bila shaka utampata..Utufahamishe pia ukifanikiwa ili tuache kuulizia....pole na hongera Mungu awasaidie.
Huyu aliyetukana makanisa ya kiroho yote hivi siku moja atarudi hapa kutuambia namna gani kakutana na Yesu na kujiunga nao. H
aijalishi imetumwa lini hii.
Hawa watu wana lao jambo, ni kweli huyo Dangote wanaetangazia dunia ameanza ujenzi Msijute , wapi? pori tupu pale.
Mungu aingilie kati kubadili mawazo ya watu,tupumzishe hawa watu 2015...... too tired.
Changeni Changeni Mlete(CCM) Watafute njia ya kutokea Mtwara maana sidhani kama wataingia tena huko kimenuka, siyo Ghasia, Mkuchika wala Membe kazi ipo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.