Huyu bwana alipokuwa Mbeya Secondary alikuwa Head Prefect na alipokwenda Songea Boys alisoma masomo ya HGL alifeli FORM VI kwa KUPATA DIV 0, na aliporudi MBEYA akawa anafundisha ktk shule moja ya Sekondary ya WAHINDI pale Town kwa kutumia vyeti feki. Then yule muhindi shule ikamshinda akamwachia MULOGO akarudi kwao INDIA. From there jamaa ndo akaanza kupata fedha na alipogombea ubunge inasemekana alikuwa anajitambulisha amesoma UDSM Kumbe ndugu yake ndo alisoma UDSM anatumia vyeti vya huyo ndgu yake. Kashfa zilipozidi ndo akatoa record kuwa kasoma OPEN.
Hatari
Mfumo kirsto huo unafanya kazi.
nimehakikisha hajui tofauti kati ya Tanzania, tanganyika, zanzibar, unguja na Pemba.
Hajui!
Mfumo kirsto huo unafanya kazi.
Hapana kasema tuandike vitu positive tu,tusiwe kila siku tunaandika negative ebu msikilize hapa nimeattach clip kidogo cha dakika mbili na sekunde 37
Wakati wa kipindi cha dakika 45 , Mtangazaji wa ITV SELEMANI mwishoni mwa kipindi alimhoji mulugo kuhusu speech aliyoitoa Africa kusini. Mulugo alishtuka sana na akasema suala hilo halikutakiwa kusemwa pale kwenye yale mahojiano.
na wewe akili yako ni kama Mlugo tu huko africa kusini mlugo alienda kama nani na hapo mlugo alikuwa anahojiwa kama nani? jiheshimu na heshimu uwezo wako wa kufikiriaalicho sema mlugo kuwa suala lile halikupaswa kusemwa pale ni sahihi sana. huyo mtangazaji hazimtoshi anapenda cheap popularity.