Recent content by Gwajo

  1. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Yani Madrid akishapigwa game ya Barcelona inakuaga ngumu. Game hii inatakiwa tushinde tu.
  2. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Binge Moja la Mechi.
  3. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Yani Hawa Girona msimu uliopita walikuwa wa moto kweli, lakini msimu huu wanacheza kwa kuviziavizia tu, wanajaa sana kwenye goli lao. Lakini kwakua tumeshawafunga goli moja watajifanya wanapanda kuja kushambulia hapo ndipo tutakapotoa kichapo heavy.
  4. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Daaaaaaah wachezaji wengi wa Barcelona Wana uchovu wa mechi za kimataifa, na Hawa Osasuna Huwa Huwa wanapata kamseleleko kwa namna hii.
  5. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Kabisaaa.
  6. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Yani ATM banah anaamuaga kukaza sana kwa Barcelona, lakini akikutana na Timu ndogo anasumbuka kupata ushindi.
  7. Gwajo

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Barcelona inatakiwa ishinde tu.
  8. Gwajo

    Ni ajabu hawa watu wana PhDs lakini ni Wapumbavu kabisa

    Thanks,. Kwenye Neno uko vizuri sana kwani unauwezo wa kuandika kitu na kukihusianisha na vifungu vya Biblia, Congratulations. Hivi wewe ni Mshirika wa kawaida? Mwalimu? au Mwinjilisti?.
  9. Gwajo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Daaaaaaah!!! Naona unawasagia kunguni tu.
  10. Gwajo

    Wahhab kundi lenye itikadi kali ndani ya uislamu

    Inaonekana wewe kwenye hizi Mada uko Konki!!!
  11. Gwajo

    Tahadhari kwa Watoaji wa Sadaka

    Thanks Madam for this elaboration.
  12. Gwajo

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Siwalikuwa wanasema eti Sancho ni mchezaji mzuri, eti kwakuwa anachezea timu mbovu ya Man u ndio mana hafanyi vizuri. Haya sasa Sancho huyo hapo sasaaa!!!???
  13. Gwajo

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mzee wa Ku-Overload wapi?
  14. Gwajo

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hivi Hawa wachezaji wanafanya mazoezi kweli? Je wanalipwa Mshahara? Na je wanafahamu jinsi wanavyocheza?....................????? Man U ya sasa ikikutana na Timu top 15 inakuwa ni big Matches kwelikweli!!!! Kwanza 1. Wachezaji hawakimbii, nyoronyoro tu. 2. Kona zikipigwa hata thelathini...
Back
Top Bottom