Kuna vitu ambavyo kenya wanatuzidi japo ni vichache kuliko tunavyowazidi kwa suala la DEMOCRACY wametuacha mbali. Nadhani leo hii state ya TZ ikiachia grips kwenye mwenendo wa SIASA na kuiachia wanasiasa tutachupa na wataisoma namba. Mimi naomba viongozi wangu waache kuhusisha kila kitu na...
Hi watu hamchoki kuunganisha DOT. tatizo manataka kila mtu asungumze manachotaka kukisikia. Balaa hili mpaka lini hamnatofauti na waliosemwa Isa 30: 9-10 "9 Kwa maana watu hawa ni watu waasi, watoto wasemao uongo, watoto wasiotaka kuisikia sheria ya Bwana; 10 wawaambiao waonaji, Msione; na...
Mimi Lowasa YESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS. Anachafuliwa huenda ni kwa sababu ambazo hatuzijui
Madaraka mazuri. Wanaogopa kutupwa nje na kufa kifo cha mende, miguu juu.
Tatizo ninaloona mie ni pale chama tawala kinatafuta sababu za kitoto kuwalaghai wananchi. Hi shule wamesoma kweli. Walianza na udini, wakaja na ukanda sasa "wanapoke". Mwisho wa longolongo umewadia
Mimi sielewi kabisa
Hivi alichosema JU kibaya ni kipi. Hawa watu wanaojidai hawaoni na hawaelewi kwamba TZ kuna shida/gap kubwa katika mtazamo sahihi wa uongozi huenda wana matatizo ambayo bado wanaisaikologia, waganga au watafiki katika maeneo hayo hawajagundua bado.
Hi kweli unahitaji kwenda...
Wanajamvi Habari za kazi
Nina swali labda wadada/wamama watatusaidia.
Hivi ni kwa nini msichana kabla ya kuolewa anapendana na wakweze to be na ndugu wengine wa upande wa mwanaume lakini mara aingiapo ndani kwanza wadada wanaanza kujihami, na sehemu kubwa ya wadada na wakwe wa kike/wifi zao...
Karogwa, Tumtafute Modekai na Esta ili waingie ''patakatifu pa CCM' na kufanya mapinduzi kaika fikra zao. Utando wa madaraka umewafunika macho na masikio. Waombeeni hawajitambui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.