Hii zanzibar inawashughulisha sana wanasiasa wetu,si wachukue visiwa vyao wakae pembeni waendelee na yao.mi sielewi kabsaa haja ya kusumbuana kila siku ya nin?
Well,si waiache hii migodi waende zaoo!kwanza miaka yote hiyoo wamewahi kudeclare profit?ni hasara tuu au sio?sasa biashara inakupa hasara tuu unaing'ang'ania ya nin?
Hizi kelele nyingi ni zaniniii?si waiache hii migodi isiyo na faida waende zao?kama unatozwa kodi isiyo stahiki na mmeshindwa kufikia muafaka si ufunge iyo biashara,maana ata usipofunga kodi itakufilisi sivyo??
Ni kweli hela itaenda nje na walipaji ni sisi.swali la msingi ni "kweli hawa wasanifu wetu na wakandarasi wanao uwezo wa kufanya hiyo kazi?techologically,financial capital,e.t.c??" Tunaziona kazi za local contractors hasa kwenye barabara,nyingi hazina viwango kabisa!!tatizo ni hela wanayolipwa...
Ila jamaa anaongea ukweli flani ivi.waafrica tuna matatizo sana.hapa Mtwara wakati wazungu wanarun mitambo ya gesi inayozalisha umeme wa Mtwara na Lindi,umeme ulikua ukikatika dakika kumi nyingi umesharud.toka mitambo waanze kurun tanesco ni shida,mnaweza kulala au kushinda siku nzima bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.