TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Tulikuwa wapi kuwadai hadi ikafikia hvyo? Nijibu tafadhari ila sihitaji mapovuHuyo bwana mkubwa anafikiri hiyo pesa tunayowadai hao wazungu wenzie ni pesa ya mwaka mmoja!?ni mrundikano wa pesa kutoka na vitu kadhaa kama kodi,mrahaba na vinginevyo. Kama wenzake hao wangekuwa wanalipa inavyostahili kwa wakati stahiki wala isingekuwa pesa yoote hiyo. Walipe tu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app