CNN: Makampuni 5 ya uchimbaji dhahabu hayajawahi kulipa kodi ya dola bilioni 40 tangu 2000

Hii ni taarifa kwa mujibu wa CNN.

Wanasema hiyo kodi halisi ya dola bilioni 40 tangu mwaka 2000(ukiacha faini na riba ya dola bilioni 150) hata makampuni makubwa matano yanayoongoza kwa uchimbaji wa dhahabu duniani kwa ujumla hayajalipa kodi ya kiwango hicho na kwamba hicho kiasi cha dola bilioni 40 kama kodi ni mara mbili ya kiasi cha kodi ambacho makampuni hayo yamelipa kwa ujumla tangu mwaka 2000.

Clip husika ya CNN kuhusu hii habari inapatikana kwa yule dada alieko US.



My take:
Hili jambo mbona linashangaza sana?!

Ukweli ni upi hasa?


Ngoja tujaribu hesabu rahisi:
US $ 40B gawanya kwa kampuni 5 = na US$ 8Bb
US$ 8B gawanya kwa miaka 17 = US$ 470,588,235.3

Hata haya makampuni watakuwa wezi huko wanakofanya biashara.
 
1. Ripoti ya maprofesa inadai migodi mitatu inaingiza zaidi ya migo 20 ya kampuni kubwa ya duniani? Is that logical? Hizi namba hauwezi mtu kutaja tu. Mtu unaweza ku-assess production kapacity kwa kuangilia vitu fulani. Kwa mfano mtu mwenye dala moja hawezi kuwa na kipato cha mtu mwenye 10. Kwenye kila industry, experts can estimate. Kwa ripoti ya maprofesa ACACIA wakiliropiti revenue 1billion wana kuwa wanaficha 6 billion. Wanafichache ukiangalia logistical size and operations? Simple logic. ACACIa is a listed company. Wanaficha ili hela wampe nani wakati wenye kampuni ni public. Value ya ACACIA ni chini ya $3bil. Hisa za Barrcik ndani ya ACACIA ni chini ya $2 bil.

2. Wewe ukipata sehemu ina gold ukaanza biashara ya kuchimba, unafikiri hauta kuta madini mengine ndani ya huo mchanga. Chimba hata kwako leo upime uone. Haina maana kwamba extraction ya hayo madini ni '"commercially viable". We we utatoa kile ambacho value vs cost of extraction ni faida kwako.

3. Maprofesa sio lzima wawe wataalam. Ni Academicians. Naona hata industry trends hawazingatii kwenye ripoti. Wanafuata vitabu vyai vya shule tu. Utasemaje ACACIA haijasajiliwa wakati ACACIA ni rgistered brand name? Mbona kwenye biashara ni kitu cha kawaida? Ni kwa sababu wako vyoni hawako makazini. A simple background check would have answered that question. Wanatutia aibu kwa kweli
Mbona kama ndo hivyo, sasa acacia kinawazuia nini kuja kwenye meza ya mazungumzo maana serikali ipo tayari, badala yake wamebaki wakibweka tu kwenye media za na propaganda zao kibao ili iweje? Kuna maswali hapa ya kujiuliza! Waweke data mezani tujue mbivu na mbichi, ndo maana mimi naamini serikali ipo sahihi, maana sioni haja ya wao kuchelewa kwenye meza ya mazungumzo wakati waliomba na serikali ikasema ipo tayari sasa tatizo nini? Mbona makelele mengi kwenye media hasa za jirani yetu Kenya ili wamuogopeshe nani? Containers zipo hazijaondolewa, sayansi hubishana data kwa data.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof Mruma na Wenzie wamemuingiza Chaka Magu

Lakini ukweli ni kuwa Magu anapewa anachotaka kukisikia, hivyo kila mtu anamlisha kasa na mwisho wa siku anaonekana ni kituko tu
Bashite anamlisha kasa
Sirro anamlisha kasa
Ndugai anamlisha kasa
Lipumba anamlisha kasa
Polepole anamlisha kasa

Kazi anayo mkuu wetu maana Serikali ilishasema kwenye Ripoti zake ya pili kuwa ACACIA ni Kampuni hewa, kwa maana haijasajiliwa, iweje TRA wawape notification ya kulipa kodi ilihali ni kamouni hewa?


Mkuu:
Sawa ACACIA ni kampuni hewa kwa hiyo iendelee kuachwa huku ikibeba mzigo?
 
Ngoja tujaribu hesabu rahisi:
US $ 40B gawanya kwa kampuni 5 = na US$ 8Bb
US$ 8B gawanya kwa miaka 17 = US$ 470,588,235.3

Hata haya makampuni watakuwa wezi huko wanakofanya biashara.[/QUOTE
unajua unaongelea bil 9.4 kwa kampuni moja kwa mwaka?
 
n

Tatizo hapa hayupo hata kuna watu wanaona kuwa wazungu hawawezi shindwa na Waafrika kwa lolote lile
Kwahiyo cnn imepotosha kuwa hakuna kampuni ambayo imewahi lipa hyo kodi kwenye uchimbaji madini ila acacia ndio wanadaiwa nayo!!!!! Kwahyo cnn wamekataa hatujaibiwa au wamekataa hizo figures

Na nilijua tu yaani nchi yetu bhana ukikosoa tu inaonekana unatetea wezi.... yaani kisa tumeibiwa ndio tusihoji hizo digits!!!! Wwe unayeshabikia ushafanya utafiti binafsi ama whatever magufuli says is right!!!! Kuibiwa tumeibiwa shida yetu ni hizo figures basi sasa hayo ya kutetea wezi yanatoka wapi
 
Hizo fikra ulizonazo niza kitumwa .Suala la kutangaza vivutio wala sio big deal isitoshe sisi ndo tuliwalipa for airtime. Watu mmnaomshabikia Lissu nadhani hamielewi vizuri CHADEMA .CHADEMA NI CHAMA CHA WAPIGA DEAL
Ndio nasema kma ni wazee wa fake news iweje mkimbilie kupeleka tangazo lenu huko!!! Kitendo cha nyie kupeleka tangazo la utalii huko ina maana mna imani ni kituo credible ssa tangazo lenu mnataka watu waliamini kuwa tanzania ina vivutioa vingi ila channel hiyo hiyo ikileta habari negative kuhusu watawala wenu eti hapo hapo ingeuka kuwa channel ya fake news

Hahhaahahhhaa ccm ccm!!! Kwa hili nazidi kuongeza imani kwa lisu na muda ukifika mtamkumbuka kuwa alitoa rai muhim sana kuhusu ripoti ya kamati ya usoro
 
Tatizo lako nadhani ni miongoni mwa wale waliotumbuliwa kwa vyeti fake,ubadhilifu wa madaraka au hujui unachokiongea
1. Si kweli kwamba tume hazikuwa huru ,walichokitafiti ndicho walichokiwakilisha kwa watanzania
2. Huwezi kumuhukumu mwizi bila kuwa na uthibitisho wa alichokuibia na thamani ya kitu alichokuibia
3.Nyie kama pressure group la CHADEMA. kama hamna cha kuongea ni bora kukaa kimya watu wafanye kazi
1. Tume ilikuwa huru kwani wajumbe waliteuliwa na pande zote mbili??? Maabara mliotumia inatambuliwa na pande zote mbili?? Methodology mliotumia kupima makinikia ilikuwa verified na pande zote mbili??? Uhuru haukuwepo na ndio maana majaliwa akasema ule ulikuwa utafiti wa upande wa serikali pekee sio wa general kwa hyo ni kweli haikuwa huru ile tume na ndio maana hao wezi wazungu waliukataaa

2 kwahyo ukitaka kumhukumu mwizi ndio uongeze figure ili kumfurahisha aliyeunda tume??? Wwe toka lini kampuni ikawa na deni kubwa mara 5 zaidi ya mtaji wake yaani ina mana faida wanayoiingiza ingeifanya kuwa highest earning company worldwide maana kma kodi tu trilion 100 je faida inakuwa shingapi??????

3. Kila anyekosoa anakuwa chadema?? Kwani wanachadema sio watanzania??? Je chama cha siasa kazi yao ni nini especially cha upinzani kma hamtaki watoe maoni juu ya masuala muhim ya nchi????
 
Mkuu:
Sawa ACACIA ni kampuni hewa kwa hiyo iendelee kuachwa huku ikibeba mzigo?

Sasa kampuni hewa utaidai vipi kodi?, unapoidai kodi ina maana unaitambua kwa maana ina VAT number, nk? Ndio maana tunasema mkuu analoshwa kasa, kama TRA wameweza kuwadai kodi ACACIA ina maana hiyo kampuni iko registered na kama iko Registered iweje Prof Orroso kwenye ile ripoti ya tume ya pili aseme kampuni haijasajiliwa? Ndio kasa huyo
 
Kwahiyo kila anachosema CNN ni chaukweli, hamuwezi tumia akili ndogo tu kua hao CNN si professional Wa mambo ya madini wao huletewa calculated information toka kwa hao wachimbaji na kuzitangaza haijalishi ni data za kweli ama uongo wao kazi yao ni kutoa habali zilizotoka kwa wahusika hivyo nitashangaa sanaaa MTU kusema CNN kasema hivi naww unachukulia kua ni ukweli halisi, acheni akili za uvyama mmekomalia lisu lisu lisu, ubwege mtupu hamjajitambua hili taifa ni letu sote akifeli magufuli ccm haijafeli ila taifa limefeli, upinzani uliopo Tanzania unaitwa destructive politics sio building politics, kwanjia hiyo msipojiyambua chadema chama changu enzi hizo mtapotea ,hivi unafikili hii ishu ingekua ipo marekani ama ulaya wangekua wanabwata bwata na kuingiza siasa kama sisi tufanyavyo, acheni magufuli afanye kazi Mungu atamtangulia nyie kueni wanafiki Mungu atawaumbua,

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzalendo sio kukubali kila kitu mradi tu kimefanywa na watawala.

Mambo mengine hayaingii akilini kabisa!!
 
  • Thanks
Reactions: smy
Salary Slip at large. Yaani reference yako ni CNN? Kweli umekwisha. Rais wa nchi ambapo chombo hicho kiarusha matangazo yake alisema kinatoa fake news! Wewe unapata wapi uthubutu wa kuitumia kama chanzo sahihi cha habari za 'waporaji' wa rasilimali zetu?
 
Mbona kama ndo hivyo, sasa acacia kinawazuia nini kuja kwenye meza ya mazungumzo maana serikali ipo tayari, badala yake wamebaki wakibweka tu kwenye media za na propaganda zao kibao ili iweje? Kuna maswali hapa ya kujiuliza! Waweke data mezani tujue mbivu na mbichi, ndo maana mimi naamini serikali ipo sahihi, maana sioni haja ya wao kuchelewa kwenye meza ya mazungumzo wakati waliomba na serikali ikasema ipo tayari sasa tatizo nini? Mbona makelele mengi kwenye media hasa za jirani yetu Kenya ili wamuogopeshe nani? Containers zipo hazijaondolewa, sayansi hubishana data kwa data.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani umeambiwa hawataki kuzungumza? Mbona waliomba ripoti waangalie misingi ya madai wakakataliwa?

Kuna dhana kwamba ACACIA wameiba. Swali la msingi ni, how and based on what evidence?

1. Kama ni kwa ku-underdeclare quantity, hizo container zinapaswa kuchunguzwa na neutral party. Hawamapofesa wetu wanatuabisha na ripoti yao haina nguvi kwenye arbitration. Kampuni ya gold ikichimba gold na kukuta chembe za tin kwenye mchanga, hauwezi tena ukawadai kwa value ya hiyo tin. Kama its not economically viable ku-extract hiyo tin lakini ipo kwenye contents za mchanga, utawadai vipi kwa msingi upi sasa? Si tumewapa kibali cha kuchimba gold au? Hata kama kuna discrepancies, basi ziwe number za kueleweka. Mtu mwenye daladala moja huwerzi kusema anaingiza hela za dala dala kumi. Turn over ya ACACIA ni $1 bill. Unataka kuniambia wameficha $6 bill bila shaka kuwepo kwenye size of operations. Kwa hiyo shareholders hawashituki, industry experts hawajashituka etc? Itumike akili nying na ushabiki kigodo. Hii ni listed company. Shareholders nao wanategemea audited reports kujua performance ya investment yao

2. Kama ni swala la percentage, mikataba iangaliwe. Huu sio wizi per se. Ni mkataba mbaya na tumeshiriki kuuandaa
 
Hizi kelele nyingi ni zaniniii?si waiache hii migodi isiyo na faida waende zao?kama unatozwa kodi isiyo stahiki na mmeshindwa kufikia muafaka si ufunge iyo biashara,maana ata usipofunga kodi itakufilisi sivyo??
 
Mi nachojua kwenye nchi za wenzetu huwezi kuficha pesa,
pesa zote ziko accounted for na kila kipato kinalipiwa kodi,
sasa kama Acacia ina thamani ya dola bilioni 3,

je hayo mapato mengine yamefichwa wapi,na hiyo dhahabu walikuwa wakiuzia wapi hapa duniani hadi pesa isionekane?,
kumbuka money transaction zote ziko accounted for,
unless mtu awe na godown la kuzihifadhia hizo pesa,na hata kama,how do you move them arround?,
kwa maana umechimba dhahabu,umesafirisha,record zitaonekana kwenye point of entry,kiwango kitakuwa katika record,
ukiiuza hiyo dhahabu,record zitaonekana ili kodi zilipwe,huwezi kukwepa,unless labda kama dhahabu ilikuwa ikipelekwa sayari nyingine,lazima transaction zita register tu,

na hivi ni kampuni la public maana yake hesabu zao lazima ziko open kwa wanahisa.
 
Nilitegemea kama taifa tusimame kwa pamoja na kupaza sauti zetu kuhusu huu wizi.Kama acacia wanatoa taarifa za uongo kuhusu wanachopata wewe ulitegemea akadiriwe kidogo ili iweje.Mwizi ni mwizi tu mkuu hao jamaa wametuibia full stop kama mwizi wa ndala tu mtaani anauliwa vipi kuhusu hao wizi wa matilioni.Think twice mkuu usiangalie rangi

great thinker
JPM alisema hao ni "wanaume"! Sasa wewe unawaitaje majina makali hivyo??
 
Back
Top Bottom