Phase- means single/ 3phase!, Idadi ya waya zinazokuja kwa mteja. Kama ni mbili hiy ni single phase, kama nne hiyo ni 3phase supply!. Tarrif ni kundi la matumizi ya umeme!.
Ili Tanesco wawe kuuza umeme lazima wawagroup wateja wao kwenye tarif mbalimbali , wana tarif 1 mpaka 6 nafikiri!. Hapo...
Pole sana Mr.Richard, unanikumbusha ya mwaka 2011. Mwanamke mshirikina kupita maelekezo.Nilifanikiwa kumtafutia kazi ya loan officer benki moja hv baada ya kugraduate, baadaye tulioana, na kuish pamoja. Kutokana na shughuli zangu
nilipata nafasi kwenda nje ya nchi kikaziNilirudi na kukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.