Ngoja kwanza, kumbe hizi kauli za tumejenga huwa zinakuwa hadi kwenye viwanda binafsi!!
Mdogo wangu kaamia kwenye nyumba yake, tunaishukuru Serikali kwa kujenga nyumba ya bwana mdogo
Kuna nyumba hapa jirani, milangoni na madirishani kuna mavyuma tu. Matofali yako uchii (haijapigwa plaster). Ukiangalia kibaraza kina zege tu (dalili ya kuwa ndani kuko na zege pia). Kila nipitapo jioni ama usiku nikirudi home nakuta nje imepaki Klugger namba E. Huwa nacheka tu!
Moyoni najisema...
Yanga wameact unprofessional ama kashindwa kukubali kuwa mchezaji wake anamdharau? Yaani wakala yupo na bado mchezaji anaamua kumalizana na mwajiri yeye mwenyewe!!!
Nilishasave hizi contacts za simu kwa jinsi ulivyoisifia. Kilichoharibu ni baada ya kuingia kwenye page yao ya Instagram, mashambulizi niliyoyakuta huko kuhusu huduma zao nimejikuta nadelete hizi contacts.
One thing nilishalearn maishani baada ya kukutana na msala mmoja hivi, kwamba kabla ya...
Siku moja mwanangu karudi na picha aliyoichora kutoka ubaoni kama sehemu ya h/w. Picha ni Paka mulemule but yeye akaandika Mbwa. Nikawaangalia na kaka yake (wanasoma shule moja) wanavyobishana na mimi nikawa nasisitiza ni Paka. Usiku wamelala, Kaka yake kwa huruma ya fimbo kwa mdogo wake akafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.