Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000...
Hongera sana kuanzisha uzi kwa ajili ya fursa za masomo kwa Watanganyika sisi!
Nimeguswa kuongezea tu kwenye jibu lako hili na lililotangulia. Swali la msingi la khamsinda ni "Mkuu, huu Uzi mtamu Sana na utanisaidia sana. Napenda kuuliza Jambo..... Katika hizi scolarship ulizotuma nmeshaapply...
Shukrani Mshana Jr, ujumbe wako pamoja na kuwa unaonekana kulenga "wanangu", kimsingi unatuhusu sote sisi (sote tuna wazazi). Ujumbe huu na uwe pamoja nasi J'pili hii
U
Umeliweka vizuri sana.
Kipindi cha kama miaka 2-3 nyuma nakumbuka kibali cha ujenzi kilikuwa hakitolewi hadi mchoro wa ramani ya nyumba ioneshe miti. Kulikuwa na idadi ya miti kwa viwanja vya high, medium na low density. Shida ni kuwa ufuatiliaji wa hiyo miti ndiyo kizungumkuti. Na sidhani...
Mtaa wa tatu ni kwa ninyi, kwetu sisi tuliokulia kota ni kufahamiana kuanzia nyumba namba moja hadi ya mwisho (kama nyumba 1,000 hivi). Shule za Msingi zilikuwa 3, jioni mkitoka mnakutana viwanjani kupandisha VIP vifuani :D :D
Jamaa aliwajulia sana Watz, Watz wanapenda sana kusikia kuliko kusoma. Mtz akisikia atasimulia huyoo hata kama si kweli. Jamaa alitupiga kamba nyingi sana, na alipambana na yeyote anayejitia kutafuta taarifa sahihi.
Nimecheka sana ulivyotumia nafasi ya kwanza-uwingi kwenye sentensi ya mwisho🤣 🤣 🤣 🤣
New York hukuna genge limewekwa kwenye "lane" ya watembea kwa miguu, liwalazimishe watembee yanapopita magari. Lakini pia najaribu kupafikiria mahali kama K'koo ama Posta. Kwa miji mikubwa unayoifanyia...
Ninyi si wamachinga, wamachinga napishana nao kila kona na vibegi vyao mgongoni mitaani, na wala sioni mgambo akiwafukuza. Ninyi mlitengeneza magenge katikati ya mji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.