Duh! Nahodha amemtangulia Kawambwa? Amemtangulia Mulugo? Kimtazamo nahodha anajitahidi ila kuna kitu kinaitwa "political accountability and collective responsibility" ni muhimu avizingatie
TARIME "Hakatwi mtu hapa" ushauri wa bure kama jimbo lenu limetelekezwa, leta chama mbadala uone watu wanavyokuna kichwa kukomboa jimbo.Tarime ni kisiki cha mbingo.
Jaman naomba kujua kama mtoa mada anaijua Nyamogo vizuri,unaelewa maana ya kusema wawe na kikao cha ndani(wapate sehemu ya kupokelea fungu la kumi) ndugu kumbuka Tarime wana uelewa sana ndo maana pamoja na kuathirika tindikali ila ndo mgodi mgumu wa kuendeshwa na wazungu.ukiingia Tarime...
Mmmmh! Kupata hoja madhubuti hapa kazi kwelikweli,Tanzania ya kweli sasa ni sawa na kutafuta paka mweusi gizani.Bora akapatikana dikteta mmoja akatufunza adabu kidogo.
Duh wadau kwa hili ni vema ukazingatia uwezo wa wajomba nao pia.Ina maana ni vema kabla ya kuoa ukawajua wanafamilia, maana kuna koo zingine ni zero brain hata wa dawa hamna mpaka wanawake huanza kuiba nje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.