Recent content by Guturo

  1. G

    M4C-OPD ndani ya Dodoma - Jan 27, 2014

    Ewaaaa! Ndo muda mwafaka wa kuwazindua wana idodomia! Toa muda tafadhal
  2. G

    Familia nane zafungsha virago na kuhamia chadema no:9 leo.

    Hv ni kweli haya yanatokea Tanzania? Mbona hatuna tofauti na somalia ama kwl tuna mizigo ya kutua 2015.
  3. G

    Manji, Mzee Akilimali washambuliana kwa 3-1

    Cha pombe puuuuuu!
  4. G

    SWALI; Kwanini Mashabiki wa Yanga wanapenda sana KUZIMIA uwanjani???

    Wanasajili mamluki wa simba wanategemea nn? Hebu muone kaseja, kelvn, Bartez, Dida, chuji na Okwi wataendelea kuzimia hadi kuzimu.
  5. G

    Ndugu yangu SHAMSI NAHODHA nini Kimekuponza?

    Duh! Nahodha amemtangulia Kawambwa? Amemtangulia Mulugo? Kimtazamo nahodha anajitahidi ila kuna kitu kinaitwa "political accountability and collective responsibility" ni muhimu avizingatie
  6. G

    Hatua saba muhimu za uponyaji wa CHADEMA!

    Mungu baba muweza wa yote hebu wafunulie hawa wana wako walau waweze kung'amua hiki kilichofafanuliwa na huyu ndugu. Personally naikubali makala hii.
  7. G

    Kinana na maneno ya ghiriba kwa watu wa Tarime

    TARIME "Hakatwi mtu hapa" ushauri wa bure kama jimbo lenu limetelekezwa, leta chama mbadala uone watu wanavyokuna kichwa kukomboa jimbo.Tarime ni kisiki cha mbingo.
  8. G

    Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Nape watuliza mzuka wa wananchi kuhusu kero za mgodi-North Mara

    Jaman naomba kujua kama mtoa mada anaijua Nyamogo vizuri,unaelewa maana ya kusema wawe na kikao cha ndani(wapate sehemu ya kupokelea fungu la kumi) ndugu kumbuka Tarime wana uelewa sana ndo maana pamoja na kuathirika tindikali ila ndo mgodi mgumu wa kuendeshwa na wazungu.ukiingia Tarime...
  9. G

    Uchaguzi ndani ya CHADEMA lini?

    Mmmmh! Kupata hoja madhubuti hapa kazi kwelikweli,Tanzania ya kweli sasa ni sawa na kutafuta paka mweusi gizani.Bora akapatikana dikteta mmoja akatufunza adabu kidogo.
  10. G

    WATOTO WANGU ni VILAZA KWELI wa darasani:kwani mtihani nimefanya mimi

    Duh wadau kwa hili ni vema ukazingatia uwezo wa wajomba nao pia.Ina maana ni vema kabla ya kuoa ukawajua wanafamilia, maana kuna koo zingine ni zero brain hata wa dawa hamna mpaka wanawake huanza kuiba nje.
  11. G

    Kauli dhaifu Zinazo waumiza vijana wengi ktk mapenz..!!!!?

    Hakatwi mtu hapa! Mapenzi bila uongo utaishia kuwaita shem!
  12. G

    Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

    Wadau hiyo inaitwa Better Resign Now!
  13. G

    Mawaziri, wabunge na Polisi wadaiwa kujihusisha na biashara haramu ya NGONO

    Haya! kama kweli waliamua kufunguka aibu mjengoni.
  14. G

    Salaam wandugu?

    Je, mnasalimika? Mi napita tu .... nitarejea baadaye.
Back
Top Bottom