sababu huwa wanaamini kila timu inayofungwa na Simba ni mbovu, hivyo ikitokea kwao hutamani kufa kabisa achilia mbali kuzimia...!!
Kwahiyo yanga walikuwa wajinga wanahamasishana kuokota vizibo vya kili lager ili kutuma kwenye mabaa SMS za mtan jembe.........inaumaah dogo hapo ulipo hata mipango yako ya sikukuu imedoda..........manji kakimbaia uwanani.....mzee akilimali analia redioni.ha hah a haha hii ndio simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! chapa ilale!!!!!!!!!!!!Simba inaongoza kutwaa vikombe vya bonanza. Huo ndio ukweli. Hivi ni timu gani inaongoza kutwa ubingwa wa Tanganyika/Tanzania?
Kwahiyo yanga walikuwa wajinga wanahamasishana kuokota vizibo vya kili lager ili kutuma kwenye mabaa SMS za mtan jembe.........inaumaah dogo hapo ulipo hata mipango yako ya sikukuu imedoda..........manji kakimbaia uwanani.....mzee akilimali analia redioni.ha hah a haha hii ndio simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! chapa ilale!!!!!!!!!!!! kwenye gazeti la mwanapoti ngasa analia..............kama huchukii mbona hununui magazeti.Unashangilia kombe la bonanza??! Ptuuuuu
Kwahiyo yanga walikuwa wajinga wanahamasishana kuokota vizibo vya kili lager ili kutuma kwenye mabaa SMS za mtan jembe.........inaumaah dogo hapo ulipo hata mipango yako ya sikukuu imedoda..........manji kakimbaia uwanani.....mzee akilimali analia redioni.ha hah a haha hii ndio simbaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! chapa ilale!!!!!!!!!!!! kwenye gazeti la mwanapoti ngasa analia..............kama huchukii mbona hununui magazeti.
hata jana walitwaa cha kushangaza wamefukuza benchi la ufundi kwa bonanza tu.simba bana wanashangaza sana.Simba inaongoza kutwaa vikombe vya bonanza. Huo ndio ukweli. Hivi ni timu gani inaongoza kutwa ubingwa wa Tanganyika/Tanzania?