Recent content by guti

  1. G

    Kova: Jambazi mmoja la Stakishari ajisalimisha Polisi

    ha ha ha haaa picha linaendelea..!:D
  2. G

    Wizi wa mafuta Petrol Stations

    mimi huwa natembea na dumu,nikifika shell natoa dumu rangu natia mafuta naenda kujazia mbele..
  3. G

    GE2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

    kama unachuki na ukawa, kalambe limao..
  4. G

    Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

    mzee wa busara.:D
  5. G

    News Alert: Rafu kura za maoni CCM Temeke

    mimi mwenyewe broo wangu alienda nyumbani kwa mh. mmoja na wenziwe wakapewa kila mtu 25000.
  6. G

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    kweli kwetu kulikuwa na ulinzi lakini huu wa kenya noma,nimeona kuna kama police officer kama 10,000 wamemwaga.
  7. G

    Kagame Cup, Dar es Salaam-Tanzania 2015 Special thread!

    azam hawachezi vizuri zaidi ya gori waliropata.
  8. G

    Mbatia: Mgombea tutamtangaza baada ya siku 5 Au 6

    mmmmh hapa hakuna wapinza mimi hata wakiweka jiwe ukawa nalipijia hilohilo..!? siwezi hata siku mmoja kupijia kula ccm mpaka mtako waachia dunia yenu..
  9. G

    Naomba kujuzwa jina la hii movie

    ash vs evil dead.
  10. G

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Nilisikia hii habari nikadhani aliyenipa taarifa alikuwa ananidaganya, aliniambia kuna askari waliofariki lakini hazijathibitishwa.
  11. G

    Video: Wabunge wa CCM wakiimba Pambio la kumuaga Lowasa

    ha ha ha ha haaaa,mwenyewe katoa macho kama kabanwa na mrango.
Back
Top Bottom