TCRA, tujuze kwanini Azam TV haiwekwi kwenye ving'amuzi kama Local channel

Babeli

JF-Expert Member
Jul 20, 2015
6,660
3,233
Wadau. Naomba nieleweshwe ni kwa nini Azam tv kama moja ya local channel haiwekwi kwenye ving'amuzi kama zilivyo tv station nyingine .
Kama mlivyotoa mwongozo ni haki kwa local channel kuonekana popote katika ving'amuzi vyetu.

habari wadau.

toka siku ya jana matangazo ya local chanel au chanel za ndani kwa watumiaji wa azam tv yalikatishwa ghafla na hayapatikani hadi muda huu isipokuwa chanel ya tbc na tv imaan.

nilipojaribu kufanya mawasiliano na kituo cha huduma kwa wateja niliambiwa kwamba kuanzia sasa chanel zote za ndani hulipiwa.

nikajaribi pia kuwasiliana nao kwa njia ya email lakini ni masaa zaidi ya kumi sasa hawajajibu.

swali langu ni kwamba.
je ni kwelu chanel za ndani ya nchi yetu zinalipiwa ?
kama zinalipiwa,inakuaje chanel za nje kama AFRICAN TV,PEACE TV,QURAN TV,SUNNA TV,STV NOTICIAD,IBNTV AFRICA,HOME BASE GHANA,QTV ZAMBIA na nyinginezo kupatikana na hali ya kuwa zile za ndani hazipatikani ?

Asalam alyekum,

Nashindwa kuamini kabsa hiki kinachonyokea hapa. Mimi ni mteja wa awali kabsa wa Azam TV. Nlikua nafurahia Huduma yenu kwelikweli, but tatzo lilianza wiki iliyopita kwa kuziondoa kabsa Chanel 2, star TV na tv1 bila taarifa yeyote wakati MNA no yangu ya simu. Is it fair??

Nikiwa naendelea kuwatafta kw a no zenu za simu na email yenu ya Huduma kwa Wateja bila mafanikio, Jana mkaanza kuondoa accessibility ya Chanel moja badala ya nyingine hAdi kubakia Azam extra pekee kabla baadae kunirudishia TBC.

Bonafsi nilihisi labda kifurushi kimeisha coz sio kawaida kutokea na kwa sababu huwa nalipia. 12,000 (Azam pure) na kwa sababu Leo mmenilazimisha kuangalia matangazo yenu, nkakuta Azam pure imekua 15,000 badala ya 12,000 huku kukiwa kumeongezwa Chanel za sport .

Kituko cha mwaka kimenipata baada ya kulipia hiyo 15,000 saa12 jion, hadihad I mda huu SAA 9 usiku Chanel hazijafunguka ndo nnapogundua mmeingia kwenye mkumbo wa kulewa sifa sasa.

Sielewi MNA tatzo gani?? Kwa nn msiwe na 24 hrs call center service? Tatzo nn?? Kwa nnavyofahamu Mimi Chanel 5 za kitaifa hazitakiwi kukatwa haya Kama haujalipia! He sheria zimebadirika?? Haya sasa mteja analipia had I massa takribani 10 hapati Huduma!!!

Note: mkiendelea hivi, hamtafika kabsa.

Hii no yenu nkiiona natamani kutapka kabsa 0764700222 coz haina msaada.



======================================

Majibu Kutoka TCRA

AZAM TV ina leseni ya "satellite by Subscription" mfumo wa malipo kupitia satelait. Azam Ina kingamuzi chake.

Iko mifumo minne ya utangazaji;

1. Satellite - Zuku, DSTV, Azam
2. Cable TV - utangazaji kupitia mfumo waya
3. Digital Terrestrial - Agape, Basic a Transmission - Continental na Digitech- star times ( huu Ndio mfumo mpya baada ya kuzima analojia Na ndio Wence sharti kuweka free to air channels za kitaifa bure?

4. AITV / Mfumo wa utangazaji kupitia internet.

AZAM sio "free to air" Kwenye DTT hivyo leseni yake aliyochagua ni ya kukipia kupitia kingamuzi chake. Akitaka aingie kwenye vingamuzi vingine atatakiwa kuwa na leseni ya Maudhui ya DTT.

Ziko channel nyingi tu za kulipia Kama za Azam Kama Sikuba nk lakini kuzipata lazima ulipie
.

TV zote local sio lazima kuonekana bure isipokuwa zile 5 za kitaifa za mfumo wa DTT.

Zingine huonekana endapo uko eneo zinakorushwa na kama ni za bure.
 
Hata mimi nashangaa. Kama sheria ni msumeno mbona signal ya azam tv haipo kwenye visimbusi vingine wakati wenyewe wanaonyesha station za tv nyingine!!!
 
ukiangalia kwa makini..almost kila tv station ina king'amuzi chake, ni maamuzi tu ya station fulani kuomba mkataba wa kama barter trade fulani kuingia ktk king'amuzi chake na we unamuweka chako...so kma hayupo ni kwamba hataki
 
ukiangalia kwa makini..almost kila tv station inra king'amuzi chake, ni maamuzi tu ya station fulani kuomba mkataba wa kama barter trade fulani kuingia ktk king'amuzi chake na we unamuweka chako...so kma hayupo ni kwamba hataki

jambo kma ulielewi vizuri kaa kimya,soma michango ya wengine..!!
 
Kwani ni TCRA ndio wanaoamua au mwenye channel ndo anaamua?
 
Kwanza hii TV naona kama ni TBC 3 maana ukiangalia taarifa ya habari yao 50% ni habari za chama cha mapinduzi utafikiri vyama vingine huku mikoani havina michakato.
Wananiboa sana ingawa mi ni mteja wao
 
tueleweshe wewe basi..

kuna uwezekano ye hajaelewa...king'amuzi is a business, si tumeingia digital, lazima ulipie station yako kuonyeshwa kwnye digitek/ting/star times etc... kama unaona shida sana kulipa per month, tengeneza chako, ndio maana viko vingi, ila unaweza ingia katika mkataba na king'amuzi kingine awe anaonesha station yako na we unaonesha yake, hela inaingia katika sales ya kifaa cha king'amuzi na kwa stations ambazo hazina king'amuzi na zinalipia ili kuonyeshwa humo..station in haki ya kuingia katika king'amuzi chochote ila huwezi ingia free, ni biashara ati.. unless kuwe na king'amuzi cha TCRA ambacho utawekwa bure
 
hapo sio swala la TCRA ...ni makubaliano tu ya wamiliki wa channel na king'amuzi husika.
Azam wamejikita kwenye decoder zao ili kufanya biashara mbili kwa wakati mmoja, huku anarusha matangazo huku anauza na decoder, so ni maamuzi yao tu na sio kwamba wamezuiwa
 
Guys please be advised that..Azam Tv ni Pay Subscription SatelliteTv na sio Terrestial Tv....however ni kweli zote zina visimbuzi but kuna gross difference.
Ni vile tu owner ni mwenzenu na headquarter iko hapa bongo. Otherwise Azam wanaweza kurusha matangazo yao ama base yao kwa kusimika mitambo yao nchi yeyote kusini mwa jangwa la Sahara. Azamtv ni sawa kabisa na Multichoice....Azamtv ni sawa kabisa na ilee Gtv (mnaikumbuka)? Kwa taarifa yako mawimbi yale ambayo walikuwa wanatumia Gtv kabla hawajafirisika ndo hayo yanatumiwa na Azam. IlinAzam wawe hewani...wananunua pathways kwa sattelitte provider kule France mara 70 zaidi ya wanacholipa hawa wengine.
Narudia...ni vile tu Azam iko Bongo lakini inatofauti sanakitechnolojia na hizo zingine.

Sasa ni je umeshawahi kujiuliza why TCRA hawana mkono kwa multichoice? Gtv? Ukipata jibu pigia mstari kkwa Azamtv
 
Wadau. Naomba nieleweshwe ni kwa nini Azam tv kama moja ya local channel haiwekwi kwenye ving'amuzi kama zilivyo tv station nyingine .
Kama mlivyotoa mwongozo ni haki kwa local channel kuonekana popote katika ving'amuzi vyetu.


Azam TV sio local chanel, ni ya nchi za nje hivyo wanajiendesha si kwa kutumia sheria za nchini mwetu. Kwani kwenye hizo locals, umeiona ZBC(Zanzibar Broadcasting Cooperation)?
 
Guys please be advised that..Azam Tv ni Pay Subscription SatelliteTv na sio Terrestial Tv....however ni kweli zote zina visimbuzi but kuna gross difference.
Ni vile tu owner ni mwenzenu na headquarter iko hapa bongo. Otherwise Azam wanaweza kurusha matangazo yao ama base yao kwa kusimika mitambo yao nchi yeyote kusini mwa jangwa la Sahara. Azamtv ni sawa kabisa na Multichoice....Azamtv ni sawa kabisa na ilee Gtv (mnaikumbuka)? Kwa taarifa yako mawimbi yale ambayo walikuwa wanatumia Gtv kabla hawajafirisika ndo hayo yanatumiwa na Azam. IlinAzam wawe hewani...wananunua pathways kwa sattelitte provider kule France mara 70 zaidi ya wanacholipa hawa wengine.
Narudia...ni vile tu Azam iko Bongo lakini inatofauti sanakitechnolojia na hizo zingine.

Sasa ni je umeshawahi kujiuliza why TCRA hawana mkono kwa multichoice? Gtv? Ukipata jibu pigia mstari kkwa Azamtv

hata sikujua kwamba sio local, duh..thanks
 
Guys please be advised that..Azam Tv ni Pay Subscription SatelliteTv na sio Terrestial Tv....however ni kweli zote zina visimbuzi but kuna gross difference.
Ni vile tu owner ni mwenzenu na headquarter iko hapa bongo. Otherwise Azam wanaweza kurusha matangazo yao ama base yao kwa kusimika mitambo yao nchi yeyote kusini mwa jangwa la Sahara. Azamtv ni sawa kabisa na Multichoice....Azamtv ni sawa kabisa na ilee Gtv (mnaikumbuka)? Kwa taarifa yako mawimbi yale ambayo walikuwa wanatumia Gtv kabla hawajafirisika ndo hayo yanatumiwa na Azam. IlinAzam wawe hewani...wananunua pathways kwa sattelitte provider kule France mara 70 zaidi ya wanacholipa hawa wengine.
Narudia...ni vile tu Azam iko Bongo lakini inatofauti sanakitechnolojia na hizo zingine.

Sasa ni je umeshawahi kujiuliza why TCRA hawana mkono kwa multichoice? Gtv? Ukipata jibu pigia mstari kkwa Azamtv
Kiddoooogo umenifungua macho mkuu. Lakini bado! Sasa wao kama tv station kwa nini wasifanye basi channel moja ambayo itakuwa local kama wengine. Wao hawafungwi na TCRA sio.
 
Back
Top Bottom