Recent content by gusya

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kuipa Dodoma hadhi ya Jiji ni lazima kujadiliwe

    Dodoma kuwa au kutokuwa jiji watanzania inawakera nini! Tatizo tunashindwa kupambana na hali zetu tunabaki kushadadia mambo kama Haya, tupambane na future zetu na kila mmoja ashiriki katika ujenz wa taifa hili na sio kufanya porojo sizizo na mantiki
  2. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

    Hii story nzur sana Dada, nnavyoona kiukweli story zetu hiz tukiztengenezea movie kwa kweli znakuwa movie za mapesa mengi sana story yako inavutia ngoja tusubir tuone itaishia wapi
  3. G

    JamiiForums Tanzania Fao la kujitoa mifuko ya hifadhi ya jamii

    Hii nifuko jmn! Mungu anawaona
  4. G

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

    Nina historia ya kutatua tatizo hilo ndani ya muda mfupi bure kabisaaaa
  5. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada mnaotaka kuolewa msiache vitu mkienda kwa wapenzi wenu

    Sa mtu anakuja kusalimia anaachaje mapichu yake ndan kwako kama sio kwamba mmetengua amri ya mungu! Ama kweli hawa wanawake tunaooa wamepitia makubwa sana lkn ukiwakuta wanavyojishaua utadhan hawajawah kuacha pichu kwa ma x wao 800 waliopita na wengine bado loading
  6. G

    JamiiForums Tanzania Watumishi waliofanyiwa recartegorization kufutwa ajira?

    Huwa walishaondolewa kazin muda sana Mimi Nina staffmet wangu watatu tayar wamesharud makwao na familia zao,
  7. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya yaiva, JPM atema kibao

    Nakaa tayar kuona hayo mabadiliko
  8. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuna wanawake wazuri wa kuoa humu JF

    Mkuu ukimchunguza sana bata hutakaa ule nyama yake, nakwambia uzuri wa binti sio sura , Hawa Dada zetu ni wazuri sana wazungu wanawatafuta bt sisi tunaona wa kaz gan
  9. G

    JamiiForums Tanzania Wenye uelewa na hili tu.

    Habari zenu humu, nilikuwa naomba kuuliza kwa wenye uelewa na hili jambo, et maaskari polisi hapa tz makato yao kwenye mifuko ya jamii kama gepf, lapf nk huwa wanakatwa vipi! Kuna mtu kaniambia et wao wanakatwa kuanzia tsh. 15,000 tu na kuendelea kwa kila mwez hivyo mwanachama yeye ndio anaamua...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Askari wa JWTZ agonga basi la mwendokasi na kulitelekeza gari na kukimbia

    Bas tuseme huyo mjeda alikimbilia chocho kuwahi hayo maslahi ya taifa
  11. G

    JamiiForums Tanzania Askari wa JWTZ agonga basi la mwendokasi na kulitelekeza gari na kukimbia

    Bas tuseme huyo mjeda alikimbilia chocho kuwahi hayo maslahi ya taifa
  12. G

    JamiiForums Tanzania Siku ya kwanza kupanda Fisi nilishangaa sana kwa kweli

    Dah! Ulikua unapitia barabara zetu hiz au kuna njia maalum aise! Halaf ongea na bibi if possible huo usafir utumike na raia maana mabasi yanamaliza watu saivi
  13. G

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: Siku 14 za kuwa gizani bila kutarajia

    Pole sana jamaa
  14. G

    JamiiForums Tanzania Uume unatakiwa usimame mara ngapi kwa siku?

    Huu nao ni umasikini mwingine, duh! Pole sana ndg, nahis hiyo pampu umeioveruse,
Back
Top Bottom