Ujumbe wao kwangu suku ya leo.
''Unajua kabisa umekiuka masharti ya mkopo wa TALA kwa kukaa muda mrefu bila kulipa lakini bado hukamilishi mkopo huu, hii ni kama unafikiri kuna siku tutaacha kukudai,ukweli ni kwamba tutaendelea kukupa taarifa kila siku huku hatua nyingine zikiendelea...
Leseni zote za Baiashara zina expire-date ya mwaka mmoja tu, ambapo zitatakiwa kubadilishwa. Kwa hiyo usitishwaji huu hautaathiri wapya pekee bali utaathiri pia wanaoendelea kufanya biashara ya aina hii kwa kuwa hawataweza kubadilisha leseni zao pindi watakapohitajika kufanya hivyo.
Thanks...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.