Pole sana,mwambie mkeo alf muite mama wa mtt na bb aliyepewa mtt muyazungumze a watakuelewa tu,akikataa kapime DNA ili ajue mtt anelea sio wake...na ujifunze pia ukisafir jitahid kutafuta mawasiliano na kuhudumia mlowaacha huku
Kuna mambo hukumbuka......mwingine hufurah hd kulia,mwingine kaondokewa na mtu muhim km mm au bb so ile cku anakumbuka wazaz wang wangekuwepo labda wangefanya hv au vle mtazamo wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.