Recent content by gulu

  1. gulu

    Arusha: Mtekaji wa watoto afariki dunia kwa kupigwa risasi wakati akijaribu kutoroka

    Bora nae amekufa, alivyowatanguliza wenzie alijua yy ataishi milele
  2. gulu

    Hivi EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao vipindi hadi kufanya na huyu mkaa uchi????

    Angekuwa mzur ss hal hii yuko hv na anafanya hv
  3. gulu

    Nilimwambia sehemu ninayoishi. akakata mawasiliano,akaniblock na sasa hayupo hewani kabisa.

    [emoji13] [emoji13] [emoji13] mwambie unaish ostabey
  4. gulu

    Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

    Alikuwa hampendi bhana coz mnapooana kila mtu anakuwa na tabia yke lkn mnarekebishana taratibu hd mnakuwa sawa
  5. gulu

    Amwaga zege kwenye gari aliyomzawadia mpenzi wake baada ya kuachana

    Roho mbaya na ushamba vinamsumbua
  6. gulu

    Huyu ndo mwanamke wa kuoa, wala usimcheleweshe

    Muoe lkn na ww hapo baadae ukija kuwa mambo safi usimchanganyie wanawake utamtesa coz yy anaonyesha anakupenda
  7. gulu

    Faida za vibamia

    [emoji85] [emoji85]
  8. gulu

    Nilizaa na mwanamke mtoto wangu kapewa mume mwingine, nifanyeje?

    Pole sana,mwambie mkeo alf muite mama wa mtt na bb aliyepewa mtt muyazungumze a watakuelewa tu,akikataa kapime DNA ili ajue mtt anelea sio wake...na ujifunze pia ukisafir jitahid kutafuta mawasiliano na kuhudumia mlowaacha huku
  9. gulu

    Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

    Ohh pole nae ana wake alishawahiwa kitambooooo na hana tbia ya kuchanganya [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
  10. gulu

    Mwanza: Mtoto afariki baada ya kuangukiwa na jiwe

    Pumzika kwa amani na poleni wanafamilia[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
  11. gulu

    Kitendo cha watu kulia harusini, tatizo ni nini?

    Kuna mambo hukumbuka......mwingine hufurah hd kulia,mwingine kaondokewa na mtu muhim km mm au bb so ile cku anakumbuka wazaz wang wangekuwepo labda wangefanya hv au vle mtazamo wangu
Back
Top Bottom