Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Amuacha mkewe kisa mkewe hapendi utani

Ndio hapo mkuu,wengi wao wanaingia kwenye ndoa wakiwa na kigezo kimoja cha kumaliza nyege, wakiwemo ndani sasa wanagundua kuwa ndoa ni mkusanyiko wa vitu vingi sana na ni jumla ya maisha yako unayoishi kila siku.

kwani tendo linachukua muda mchache sana kwa siku yenye masaa ishirini na nne.

Angevumilia tu kwani kiashiria alikiona wakati wa uchumba na akakipuuzia.
wengi
Mmh! Yawezekana alijua wakizoeana sana ataanza kukubali utani. Maisha magumu sana, ya kuishi kama mtu na mkwewe!!?
 
Mtu unaweza kuona sio sababu ya msingi ila inaboa jamani kuishi na mtu aliye serious 24/7

Hii ipo hata kwa mahusiano na wazazi wetu . . .mtu unakuta anaongea na baba ake kama anaongea na polisi

Wapenzi/waume ni kama mabest zetu
Binafsi naprefer mwenye ucheshi&utani utani
 
Mtu unaweza kuona sio sababu ya msingi ila inaboa jamani kuishi na mtu aliye serious 24/7

Hii ipo hata kwa mahusiano na wazazi wetu . . .mtu unakuta anaongea na baba ake kama anaongea na polisi

Wapenzi/waume ni kama mabest zetu
Binafsi naprefer mwenye ucheshi&utani utani
Kuna mdau hapo juu kasema yeye na mpenzi wake wakiwa chumbani hukimbizana wakiwa uchi. Hayo na utani mwingine ndiyo vinanogesha penzi
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
 
Afu akiwa kwa mwingine ndo anacheka mpka jino la mwisho... Inauma sana
 
Ndoa sio dude bhana mbona tunatishana.....

Kipindi cha uchumba waliishije labda??! Hakuliona hilo au aliona halafu akapuuzia, sasa ndo analalamika sio!!
Labda alutafutiwa na dada wakakutana kanisani wakati wa kufunga ndoa
 
Alikuwa hampendi bhana coz mnapooana kila mtu anakuwa na tabia yke lkn mnarekebishana taratibu hd mnakuwa sawa
 
Mwambie aje kunioa mm ntamtania mpk achoke, akitaka papuchi naanza kuenda mbio chumbn mpk atachoka kunikimbiza ataishia kulala, akirudi kazn anakuta meza imepambwa fresh hot pots zimefunikwa safiii akifunua empty msosi hamna na mengne meng mm napenda sana utani!!
Duh
 
Mkuu uckute alitafutiwa bk.. So hawakuzoeana had cku ya harus.. Walvyoanza kuishi kakuta hali ngumu!
Hapo ni ngumu kuamini, hata kama umetafutiwa lazima walishakaa wakazoeana na kujuana hakuona hiyo tofauti kweeli
 
Hata mi ningemkimbia aise... Mtu serious muda wote wa nini?

Ila alipaswa hili awe ameling'amua mapema kabla ya ndoa
 
Back
Top Bottom