Recent content by gulendelu

  1. gulendelu

    Uhakika wa Lowassa kushinda sasa ni mdogo

    Jipeni moyo
  2. gulendelu

    Kwanini Papa ana ulinzi mkubwa namna hii?

    Amina watumishi kwa michango yenu.... Sina neno
  3. gulendelu

    Msipotoshe, CCM haijatawala Miaka 50

    Nae wakisema wanye fikra na uwezo wa kujenga hoja anaenda!! Akili hii ya kuomba mdahalo kweli???
  4. gulendelu

    Maandamano hayaepukiki kipindi hiki

    Your so concious...... keep it up!!! Kama wakiendelea kushupaza shingo watavunjika
  5. gulendelu

    Team nzima ya CHADEMA ndani ya Kahama leo mapokezi ya James Lembeli

    Kwa kheri ccm kwa heri....... Mola yu nasi Mungu endelea kuipigania chadema
  6. gulendelu

    MTIKISIKO CCM: Pinda si shwari!

    Pumziko jema pinda siasa ishaakuonyesha ilivyo na kukukumbusha kua makini!!
  7. gulendelu

    Mbasha: Mimi na Flora ndiyo basi tena

    Waachie wenyewe Mkuu,mpango wa mwaka huu ni uchaguzi Mkuu October
  8. gulendelu

    Lowassa aandaa waraka kumchanachana Kikwete kesho (Julai 20, 2015), kutimkia ng'ambo...

    Unamtazamo lakini umekosa organization!!!
  9. gulendelu

    Mapadre waanza rasmi kumpigia Magufuli kampeni

    ukileta mambo ya udini ni kuwa na akili fupi,hili ni tatizo la watu waliopata utapiamlo wakati wa utoto.
  10. gulendelu

    Kwanini iwe CHADEMA tu? Kuna mkono wa mtu, Si bure!

    Hujitambui wewe bila shaka???;->;-> kwenye mikutano yake kila kukicha ni kumsifia kikwete raisi alieshindwa afu leo hii uniambie yeye awe tinga tinga
  11. gulendelu

    Mzee Mtei na Kingunge kuleta ukombozi kupitia Lowassa, CHADEMA na UKAWA

    Hata kama na wewe hujitambui,kwani kuna mgombea binafsi Tanzania?? Bila kudhaminiwa na chama huwezi kua mgombea kwa nchi yetu. Think twice mgombea yeyote yule no mtekelezaji wa itikadi na ilani ya chama chake!!!! Jitambue nchi hii ni yetu sote kuikomboa nchi hii ni suala letu sote
Back
Top Bottom