Jadema bado sana kujitmbua mkuu,naamini kusema kwamba ccm wanaijua sana siasa.
Huwezi kuwa mkimbizi kutoka Burundi ukaenda Sudani,Somalia, Rwanda au Congo......lazima uende mahali palipo salama na uhakika wa maisha tofauti na ulipotoka......tukirudi kwenye siasa zetu Tanzania kwa sasa CHADEMA pekee ndio mahali salama na kimbilio la wanyonge.
Kuwe na mkono wa mtu au mguu wa mtu ula ukweli ni kuwa ukiwa ndani ya CDM upo mahali salama.
Tunakusubiri na ww Mzee wa Lumumba.
"SITAKUWA NA HAYA NA MTU AMBAYE HATATEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA UMAKINI PINDI NITAKAPOPATA RIDHAA YA KUIONGOZA NCHI HII"
Nadhani kauli hiyo unafahamu imetolewa na nani....hivi kwa kauli hiyo unadhani wale wanaojifanya viongozi bila kuwa na impact lazma waondoke, sishangai kuona wanaondoka,,,watoto wa mjini wanasema TINGATINGA linakuja lazma watu watafute pa kwenda,,,ila wenye kujielewa watabak huko waliko
ni kwasababu hujui tu! Subiri utajua wakati ukifika.
Hivi wale was kwenda ACT hawajaanza safari?
"SITAKUWA NA HAYA NA MTU AMBAYE HATATEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA UMAKINI PINDI NITAKAPOPATA RIDHAA YA KUIONGOZA NCHI HII"
Nadhani kauli hiyo unafahamu imetolewa na nani....hivi kwa kauli hiyo unadhani wale wanaojifanya viongozi bila kuwa na impact lazma waondoke, sishangai kuona wanaondoka,,,watoto wa mjini wanasema TINGATINGA linakuja lazma watu watafute pa kwenda,,,ila wenye kujielewa watabak huko waliko
Nafikiri tatizo lililolipotiwa sio kudanganya CV, ila kudanganya kwamba anaumwa na kuendelea kulipwa mshahara wakati tayari ameacha kazi. Mbaya zaidi yeye ni kiongozi wa nchi. Sasa mimi nilidahni Kikwete alifanya home yake vizuri katika kuteua timu yake, lakini kwa kashfa hii inaonekana uteuzi wake una walakini. Kumbuka huyu ni kiongozi wa pili kuibuka na udanganyifu ukiacha wale waliodanganya PhD zao!
"SITAKUWA NA HAYA NA MTU AMBAYE HATATEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA UMAKINI PINDI NITAKAPOPATA RIDHAA YA KUIONGOZA NCHI HII"
Nadhani kauli hiyo unafahamu imetolewa na nani....hivi kwa kauli hiyo unadhani wale wanaojifanya viongozi bila kuwa na impact lazma waondoke, sishangai kuona wanaondoka,,,watoto wa mjini wanasema TINGATINGA linakuja lazma watu watafute pa kwenda,,,ila wenye kujielewa watabak huko waliko
Ni fisadi gani aliekatwa CCM na akahamia CHADEMA? Nitajie walau mmoja tu! Mmoja tu!Mbowe aliwahi sema milango ya chadema imefungwa sasa hawa wanapitia madirishani? au alisahau kutoa funguo au maharamia yametumia "funguo Malaya" Slaa na Lisu watapata wapi ujasiri wa kukemea ufisadi wakati ndo yamejazana huko baada ya kukata ccm?
Kabiiisa kabiisachadema ni sehemu takatifu