Laana zipo na zinafanya kazi vizuri tu na hata kwenye biblia zipo zimeoanishwa vizuri tu ngoja nikipata muda nitakuletea vifungu. Kumbuka kama neno lenyewe laana lipo maana yake linatumika.
Kiukweli hawa watendaji wa haya mashirika au sijui niseme serikali inatuchanganya sana kuhusu hili suala. Kuna mtu kaenda pale ppf kijitonyama kaambiwa hakuna utaratibu wa kulipa kwa sasa hata hiyo asilimia unayosema walisema haipo. Huyu aliacha kazi mwaka 2007 na mfuko wake ni ppf, sasa...
Mkuu hii mambo haijaanza jana,ukitaka kujua chanzo chake kama wewe una biblia kasome kitabu cha Matendo ya Mitume yaani (Mdo 8:9-25).Hapo ndipo ilipoanzia dhambi ya biashara ya mambo matakatifu, ijulikanayo kama "SIMONIA".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.