I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,730
- 10,033
Biblia inatuambia kwamba "kama shomoro katika kutanga-tanga kwake, na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu." (Mithali 26: 2b).
Hii ina maana kwamba laana ya kijinga haina mathara.
Mungu hawaruhusu watoto wake kulaaniwa. Mungu ni mtawala. Hakuna mtu ana uwezo wa kulaani mtu ambaye Mungu ameamua kubariki. Mungu ndiye wa pekee ana uwezo wa kutoa hukumu.
Hii ina maana kwamba laana ya kijinga haina mathara.
Mungu hawaruhusu watoto wake kulaaniwa. Mungu ni mtawala. Hakuna mtu ana uwezo wa kulaani mtu ambaye Mungu ameamua kubariki. Mungu ndiye wa pekee ana uwezo wa kutoa hukumu.