Azam tv nawapa big up lakini jitahidini mtuwekee na capital TV sitaki kuamini kama hamuwezi kwa sababu itv na eatv Zipo malizieni Basi na hiyo capital jaman tafadhali sana
Hongera sana dk Meru nilikufahamu kipindi kifupi nilichowahi kufanya kazi katika moja ya makampuni yaliyoko pale EPZA hakika ni mchapakazi na una weledi wa hali ya juu and you are very humble more than i was imagine,hongera sana theodory
Hapo umenukuna mtoa mada, mimi nina nyimbo zao wote hao kwenye pc na kwenye simu zangu wote nawakubali ila narudia tena ila dolly najikuta namsikiliza mara nyingi ananikosha sana huyu bibiye
mkuu niliangalia kipind cha richard quest cnn akawa anawauliza kama wale wakulima wameshawahi kuonja choclate wakasema hawajawahi richard akawapa aisee nilijisikia vibaya sana manake richard alivyowaambia thats is your cocoa hawakuamini kwa sababu wao wamezoea kulima tu cocoa ila hawaifahamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.