Mbona channel za kihindi ndio zimeongezwa nyingi,utadhani tupo Bombay?wekeni channels za lugha ya Kiingereza hasa zile za habari kama CNN.SkyNews n.k
Vipi sanja umeishaipata sasa?Shukran sana Zanzibar Spices
Kaka, star tv na Romanza toka jana hazina tatizo. QTV,TVM Malawi na Bukkede1 ndo hazifunguki.Vipi sanja umeishaipata sasa?
Sababu ni kwamba Ngono ilikuwa nje nje.hv hawa Azam mbona wametoa channel ya AMC AFRICA..kuna mwenye kuelewa sababu?
Poa,mkuu,hizo nyingine sehem zote hata mie hazifunguki,na ukiona hivyo ni kwamba zipo kwenye mchakato.Kaka, star tv na Romanza toka jana hazina tatizo. QTV,TVM Malawi na Bukkede1 ndo hazifunguki.
Hongereni sana AZAM Media kwa hili.
Maana Dira ya Dunia nilikuwa naikosa sana.Futuhi ndio kabisaaa
Na kwa kasi hii,natumai mwakani Ligi ya Uingereza tutaiona.
Maana ye Kenya Tunaiona,ya Uganda Ndio nyumbani kabisaa maana Mdhamini mwenyewe ni AZAM na inaitwa Uganda Azam Premium League kama sikosei.
Hawa jamaa hawastahili Hongera kiasi hicho, ila wanajitahidi..........!
Channels nyingi kutoka Kenya ni za habari tu! Wanatakiwa waingize channel za Burudani.
Vilabu vile Uganda.
Sasa Azam Wanaingiza hata channel ambazo hazina ubora wa picha kabisa.
Ukija upande wa michezo hapo ndipo wamechemka kabisa siku ya jumamosi Ligi tatu zinaingia uwanjani kwa wakati mmoja alafu bado wana channels mbili tu... sasa jiulize wanaweza kurusha mechi muhimu kutoka ligi zote kwa wakati mmoja....?
Kwa mfano : wiki iliyopita
- simba alikuwa kiwanja.
- Yanga alikuwa na mechi
-Gor Mahia alikuwa na mechi
- KCC naye alikuwa akicheza.
Sasa ukiwa na channels mbili tu yaani Azam1 na Azam2 utawezaje kuridhisha watazamaji wa soka wa pande zote..?
Azam tv nawapa big up lakini jitahidini mtuwekee na capital TV sitaki kuamini kama hamuwezi kwa sababu itv na eatv Zipo malizieni Basi na hiyo capital jaman tafadhali sana
mbona kwangu haionyeshi na nimejiunga kwenye kifurushi cha azam play? najaribu kuwapigia lakini simu yao inaita muda mrefu bila kipokelewa! inaandika access denied.wadau wenye utaalam waniambie!