Recent content by GREGORY J

  1. G

    Msaada king'amuzi cha Azam

    Hapo tatizo itakuwa ni format ya video zako. Format ambayo haisumbui kuplay katika king'amuzi cha azam ni mp4 tu.
  2. G

    TANESCO uzembe huu mpaka lini?

    Mbezi juu mtaa wa TATEDO hatuna umeme siku ya nne sasa kwa kwa sababu ya kuanguka kwa nguzo. Ukipiga simu wanasema wanakuja, ukienda ofisini kwao Tangi bovu wimbo ni ule ule gari lilikuwa bovu. Hivi tozo ya service charge tunayolipa kila mwezi inafanya nini? Badra Masoud umo humu jamvini si...
  3. G

    Kwanini Mbowe alikuwa anasita Zitto asifukuzwe ndani ya chama?

    Mgogoro wa CHADEMA hautasaidia kupunguza bei ya umeme. Ni ujinga kupoteza muda kujadili mambo yasiyonatija kwa maendeo ya nchi yetu.
  4. G

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Pole sana ndugu, kunakipindi walikula hela yangu na umeme sikupata kabisa. Tangu kipindi hicho nimeshapata somo.
  5. G

    Wajuzi wa ios ( iPhone) naombeni msaada wenu

    Download itunes kwenye kompyuta yako, ukisha install connect simu yako kwa kutumia usb na itakupa options unazozitaka kama kuformat, kuback up etc
  6. G

    Baraza la Mitihani rekebisheni utaratibu wa kulipia Mitihani

    Mwaka huu baraza la Mitihani lilitoa utaratibu wa kuripia mitihani kwa njia tatu, ambazo ni Posta, M-Pesa an Selcom. Lakini imeonekana kuna tatizo la mfumo wa malipo. Mimi nilituma ada ya mtihani kwa njia ya M-pesa, lakini juzi nilipata msg ya kunitaka nikaripie mitihani kabla ya tarehe 1 mwezi...
  7. G

    Nape si mzima!!

    Simple mind discuss people, while big mind discuss issues.
  8. G

    Mfuko wa taifa wa bima ya afya (nhif) jirekebisheni.

    Kwa masikitiko makubwa napenda kuuandikia uongozi wa mfuko huu kuchukua hatua na za haraka ili kurekebisha uzembe unaofanywa na maafisa wa mfuko huu. Mimi ni mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, mnamo mwezi wa sita nilijaza fomu kwa ajili ya kupata kadi ya uanachama ya mwanangu...
  9. G

    Mbezi Beach barabara zinatutesa, mbunge wetu na madiwani mpo likizo?

    Hapo mchangia mada umegusa penyewe kabisa, mi ni mkazi ninayeishi mbezi juu, ninatumia moja ya barabara uliyoitaja (Mbezi garden-Baraza la mitihani). Barabara hii haijawahi kufanyiwa hata marekebisho madogo tu kwa muda mrefu sana. Ukitoka makonde baada ya kuacha junction ya St Marys na baraza la...
  10. G

    Sasa ni rasmi Wafanyakazi wengi sekta binafsi 'tumelizwa' na serikali fao la kujitoa!

    Upuuzi huu wa serikali umetugharimu wengine nafasi ya kujiendeleza kielimu Ilikuwa niprocess mafao yangu mwezi wa tisa.
Back
Top Bottom